Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,970
- 35,342
Aah basi humu kumebarikiwasidhan km n yeye.
Aah basi humu kumebarikiwasidhan km n yeye.
Humu hamna jipya, ila tu kila tukio lako unapaswa kuliweka hukuNajaribu jaribu, bado mgeni humu nna Kamba mguuni![]()


Wanaume wa humu wote ni married
Try ‘em at your own risk![]()




dea umekuja mbio mno. 




Hongera sana; huna mawaaa
Kuna wengine tuna sumbuliwa na ndoa, so hatupaswi kupata liwazo huku?Wanaume wa humu wote ni married
Try ‘em at your own risk![]()
Ni bure tu tena utafaidi kuliko alietanguliadea umekuja mbio mno.
Mbna mie nimesifia tyuuh? Au wee umeonaje?
Hahahah kwan uke wenza ni bei gan?![]()
Nilichogundua,Humu hamna jipya, ila tu kila tukio lako unapaswa kuliweka huku![]()

Tunawasifia tu tunaishia hapa hapa![]()




kabisaa, tunaslay kwa kushtua tyuuh.Sio kw sifa hizo dogo 😁🤣🤣dea umekuja mbio mno.
Mbna mie nimesifia tyuuh? Au wee umeonaje?
Hahahah kwan uke wenza ni bei gan?![]()
Ha ha ha.....dea umekuja mbio mno.
Mbna mie nimesifia tyuuh? Au wee umeonaje?
Hahahah kwan uke wenza ni bei gan?![]()

Hiyo ni comment ya Coca tuTunawasifia tu tunaishia hapa hapa![]()
Koh Koh Koh ...........Kiko inanipalia jamaniWanaume wa humu wote ni married
Try ‘em at your own risk 🤣🤣
Weuweeeee hapo sasa,Ni bure tu tena utafaidi kuliko alietangulia




A BIG AMENWanaume wa humu wote ni married
Try ‘em at your own risk![]()




Marbella ukitoka uko jiandae kwenda motoniNataka Ibiza au mallbera huko![]()

Sijawahi mkuu, sija selfika vibaya 🤣Uliwai kupigwa ban?
Tutawafata huko huko, tena wewe naku love mnoTunawasifia tu tunaishia hapa hapa![]()
Mimi kwa sasa nipo likizoTutawafata huko huko, tena wewe naku love mno
Hongera Sana aisee,Sijawahi mkuu, sija selfika vibaya![]()