cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Sio kw sifa hizo dogo
Uke wenza unauweza wewe? Labda ki small house




tena mie ndo ntakua mama wa mjengo, Wee mwenyew c unajua mambo yangu? Hahahahah
Sio kw sifa hizo dogo
Uke wenza unauweza wewe? Labda ki small house




tena mie ndo ntakua mama wa mjengo, 🤣🤣🤣🤣
Utarogwa Wewe,tena mie ndo ntakua mama wa mjengo,
Wee mwenyew c unajua mambo yangu? Hahahahah

Eeeh mali zina wenyewe; wapunguze kampeni (in Zuchu's voice)🤣🤣🤣🤣
Tunawakumbusha madogo kina coca



mdango ndo fashioooooooooon!!!Bahati nzuri likizo inaishaga!Mimi kwa sasa nipo likizo
Hivi hamna jina mbadala wa mchepukoWeuweeeee hapo sasa,
Michepuko hoyeeee![]()
Miguu ya kuchezea gwaride ipo lakin?afu sijar wala nn.
Kabla yeye hajaanza kwangu, mie ntaanza nae yeye ndo maana ataniachia mjengo, tena kwa amani kabisaaa.Utarogwa Wewe,
Nani akubali kuachia mjengo kisa mchepuko![]()





Tuite Bi.mdogo UnofficialHivi hamna jina mbadala wa mchepuko

Sana yaani kuko cool sana, haswa wenzetu hawa wanatukosha sana kumaliza na kuanza siku vizuriNilichogundua,
Humu ni kichochoro kizur Sana kurefresh mind.
Humu watu wamerelax Sana,
Hamna mjungu, fitna, umbea,comment za kukera Wala lugha ngumu![]()
Wee una MotoKabla yeye hajaanza kwangu, mie ntaanza nae yeye ndo maana ataniachia mjengo, tena kwa amani kabisaaa.![]()

Karate samabatock, ku Crow kote nipo fiti.Miguu ya kuchezea gwaride ipo lakin?





HakikaSana yaani kuko cool sana, haswa wenzetu hawa wanatukosha sana kumaliza na kuanza siku vizuri
Ha ha ha ha.....Karate samabatock, ku Crow kote nipo fiti.![]()

Wewe pia
