Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Balaa na nusu nimeona gari nakiri sijaona km ile yule mwanaume ni balaa!!!yaani nikiyaona njiani natabasamu tututafuteni pesa !!!Mimi ile siendeshi labda iwe yangu au ya Mr.ila ya mtu weeeena hivi muoga wa road na mvivu balaa sitakii
Fanya mazoezi sasa.. road trip yenu ilivyo ndefu muhimu ujue.. asee.. utapata uzoefu huko road.. na utaenjoy sana.. Utakuwa na mwanaume haswaa hautoishia kuliona utaishi humo. kipindi chote cha road trip 😊😊😊😊.. Fortnox umjengee kujiamini kwenye chuma
 
Sasa uwe unaendesha wee hapo, mbna ni utraaamu.
Kuna shost anasoma IFM, alipataga kibopa ana range rover, afu shost ndinga hajui kuendesha wee, niliifaidi mie kusukuma daah.

Yaan anamuomba ndinga afu ananiita mie, dadeki nakanyaga mafuta huku nasikiliza truck za Vanessa mdee, awww nlkua nawehukwa mie, kusukuma ndinga raha bhana wee.
Weehh!ile gari nikigonga nauza vibanda vya urithi vya buguruni na mbagala shostito!!Mimi vitz,ist na rumion wakilewa nawasaidia maana hata NMB ntatop nikigonga
 
Back
Top Bottom