Alimaanisha "Poor" ila uncle wako anavyotamka sasa🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ile Pua,Pua ,Pua ni hii pua au kapunguza ukali wa maneno😬😂😂😂
Alimaanisha "Poor" ila uncle wako anavyotamka sasa🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ile Pua,Pua ,Pua ni hii pua au kapunguza ukali wa maneno😬😂😂😂
Aisee mnatunyanyasa nyinyi dah.....Haujaona,,,vile mgeni unafuata sheria za wenyeji,picha sekunde 5 unai@delete
Nakuaona... na andaa hati za ardhi 😎😎😎 na kingine nini wataka😎
Hata mimi nilishangaa Pua mbona inatamkwa kwa hasira hivi😂😂😂Alimaanisha "Poor" ila uncle wako anavyotamka sasa🤣🤣🤣🤣🤣
Chuo kisifunguliwe jamani unakuwaga busy wewe .Mie ndo lastborn wa humu, na ndo uwanja wangu wa nyumbani.
Upendo na heshimaNakuaona... na andaa hati za ardhi 😎😎😎 na kingine nini wataka
Nuzulati njoo uthibitishe hukuAmeshanionaaaaa
🥰🥰🥰
reymage haya jiandaeee... hilo trip sipati pichaaaTrafik asimamishe hajipendi?Zaidi zaidi atasema safari njema wakuu
Afadhali umekuja boss ladyHahahaaa.... akaribie sana DeepPond ukitutafuta anza na huku!
Bina sio freshMmeweka hukuepoo![]()
Sasa uwe unaendesha wee hapo, mbna ni utraaamu.Kwanza hyo ndinga RR bwana kuna siku tuko wa3 shosti etu mmoja alikuja nayo kwenye party mmewe alimuambia achukue tunatoka tbt tunaelkea makumbusho akaomba tumsaidie kuendesha tulikataatukawaza tukigonga tuu!!bwana wee ila ndinga kaali mule ndani kama ndege afu tuko wadada na tulivo na sifa plus vurugu tukashusah vioo yaani
sisahau ile siku Yale macho barabarani wanavutazama afu mziki mkubwaaaa!!!
Sasa nawaza Fortnox ndo kashanipandisha mamaaweee





AiseeeeeNdio mkuu
Nilikuwa naua mbu 🤣Mmeweka hukuepoo![]()
Wangoni/wamatengo,wanasema kiokola kimuishembavu zangu mie lol