Na wewe hujaselfika siku nyingi dogoDepal sikusomi,uwe unaachia hata dk 1.
Selfika basi
Na wewe hujaselfika siku nyingi dogoDepal sikusomi,uwe unaachia hata dk 1.
Kwanza hyo ndinga RR bwana kuna siku tuko wa3 shosti etu mmoja alikuja nayo kwenye party mmewe alimuambia achukue tunatoka tbt tunaelkea makumbusho akaomba tumsaidie kuendesha tulikataaNa raha yake zaidi ndani ya RR Sport HSE... ayaaaa.. reymage safari tayari hiyo na kitu hatari road hakuna mikono ya traffic


tukawaza tukigonga tuu!!bwana wee ila ndinga kaali mule ndani kama ndege afu tuko wadada na tulivo na sifa plus vurugu tukashusah vioo yaani







sisahau ile siku Yale macho barabarani wanavutazama afu mziki mkubwaaaa!!!






weeeAsanteKaribu selfika.

Pua......
Pua......
Pua.....
![]()







nakufa mieee uwiiiiihWeka kambi,,utampata mama j wa pili.
👷♂️👷♂️ safi sana...Nilikuwa na zoezi na shemejio 😬
Unapitwaga tu; huwa naselfika sanaaaHeaven Sent wewe unacheka tu leo umenifurahisha sana umetuma ya kwako🥰
Hivi ile Pua,Pua ,Pua ni hii pua au kapunguza ukali wa maneno😬😂😂😂Pua......
Pua......
Pua.....
😅😅😅😅😅
Poaaaah.Asante![]()
😎👷♂️👷♂️ safi sana...
Naomba leo uselfike kwa ajili ya Nuzulati mama mchugaji pleaseUnapitwaga tu; huwa naselfika sanaaa
AmeshanionaaaaaNaomba leo uselfike kwa ajili ya Nuzulati mama mchugaji please
Haujaona,,,vile mgeni unafuata sheria za wenyeji,picha sekunde 5 unai@deleteNa wewe hujaselfika siku nyingi dogo
Selfika basi
Hatarii sanaaa... ile ni zaidi ya chumaa... ipo sex hatari.. ndani utulivu kama woteee.. mle ni kubadili mikao huku mnakula County za ki road trip mwazno mwisho.. najua Fortnox hakosei hapoo..Kwanza hyo ndinga RR bwana kuna siku tuko wa3 shosti etu mmoja alikuja nayo kwenye party mmewe alimuambia achukue tunatoka tbt tunaelkea makumbusho akaomba tumsaidie kuendesha tulikataatukawaza tukigonga tuu!!bwana wee ila ndinga kaali mule ndani kama ndege afu tuko wadada na tulivo na sifa plus vurugu tukashusah vioo yaani
sisahau ile siku Yale macho barabarani wanavutazama afu mziki mkubwaaaa!!!
Sasa nawaza Fortnox ndo kashanipandisha mamaaweee