cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Ewaaa swadakataImepoa balaa!!yaani burdaani sana!Depal andaa mazingira hukoo
2Weka wataka ngapi hizii?!!!
Ni yule rafiki yangu mwanzo si ulimuona sikuweka imojToa emoj mkuu
et mambo....Daah![]()





kama.namba mpya unaweza ukawahi fasta fasta ukijua pisi

unaskia mimi Lameck mamaee


Eti eehHiyo shoe ni kali mjomba

kalumbu mwagonaNi dharau za wazi kabisa mtu yeyote kuunganisha vijiguu vyake eti amfikie boss ledi.
Boss ledi mahondaw yuko juu huko..ni special case.
Aah wapiBoss kama boss
NilimshuhudiaNi yule rafiki yangu mwanzo si ulimuona sikuweka imoj
Sio mimi ujasiri wa kuweka picha bila imoj nautoa wapiHijabu umepeleka wapi
Ha ha ha....usjaliSio mimi ujasiri wa kuweka picha bila imoj nautoa wapi

Mie ndo lastborn wa humu, na ndo uwanja wangu wa nyumbani.Na Wewe upo uku![]()
Kwamba uko style gani hiyo ya mpaka kunyoosha shingoBora wewe ulikuwa unauwa mbu mimi nilikuwa nanyoosha shingo😬
Nilikuwa na zoezi na shemejio 😬Kwamba uko style gani hiyo ya mpaka kunyoosha shingo
Pua......Mie ndo lastborn wa humu, na ndo uwanja wangu wa nyumbani.