asante my dear
Dawa tu ndo zinatuharibia nywele jmn!
OK dear! Kumbe tunafanana kwa sehemu!
Ss hapa kuweka ya mbele majanga ngoja nione km naweza,ila ni mikanda miwili kwa mbele kabisa mirefu ambayo unaweza funga design yyt unayotaka!
asante my dear
Dawa tu ndo zinatuharibia nywele jmn!
OK dear! Kumbe tunafanana kwa sehemu!
Ss hapa kuweka ya mbele majanga ngoja nione km naweza,ila ni mikanda miwili kwa mbele kabisa mirefu ambayo unaweza funga design yyt unayotaka!
Yea,tunatofautiana sana!
Na inategemea unavaa unaenda wapi pia!
Sie wa church fresh!
Na pia huwezi vaa nguo za aina moja kila siku ,km za kubana,(tight,shift nk) kuna wakati unasikia tu kuwa huru hutamani nguo ikushike km hivi tu!