Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,215
Hapana hapana mkuu shikamoo!Saint Anne muulize basi kama yupo singo, mi nikimuuliza naona anacheka tu, sijui ananicheka..


Hapana hapana mkuu shikamoo!Saint Anne muulize basi kama yupo singo, mi nikimuuliza naona anacheka tu, sijui ananicheka..


Nikiamua kuwakazia hamtoboiUtajua haujui

bas sawa, ngosha km ngosha.
Uamue kwenye send off; harusi ni yetuNikiamua kuwakazia hamtoboi




Kulea wajukuu sio sababu.Wee Anne nitake radhi nishastaafu huko ujue!!! Nalea wajukuu na kina mamkubwa shangazi tu saivi sitaki mambo mengi
![]()
Tenaaaah nyie watani zetu?Usije sema
Sijakuambia
Usisahau kupiga goti
Unaposalimia









Mkwe wa Abiud mbna una shaukwa sana khaaah.
Hata kama ni yenu..ndio mnivalishe orange mkolevu kweli na nisitinde nyusi!
Kuweni na huruma.




Ngoshaz kwa stamina nasikia hawajambo shos wakishakula ugali wao wa kisukuma uwiiii!bas sawa, ngosha km ngosha.

Wanataka nitokelezee zaidi hata ya AbiudiMkwe wa Abiud mbna una shaukwa sana khaaah.![]()
Hapana mie wacha nikomae vigimbi tu kwanza nitaumwa nishazoea kutembea mie!!




Usunambie sasa,Ngoshaz kwa stamina nasikia hawajambo wakishakula ugali wao wa kisukuma uwiiii!![]()



tatizo wababe tyuuhhahaaNakubaliiiiiiii mie.