Dah mimi naonaga kama pastor ananikata jicho mwenyewe yaani
Mabenchi flani hivi ya makanisa yetu huku Roman Kkkt na kmt..kuna namna yamekaa yaani mtu anaweza kusimamia kwenye kimbao akainuka kidogo.
Unakuta watu wamsimamia kile kimbao lakini wapi,wanabembea hata begani hawanifikii.