Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tatizo lako mkuu hata tukitaja hizo zawadi hautoi, ile 20 ndiyo ukaamua kunikazia like nobody's business.
hahahaha, sikujua kama hili suala la kuhaidi zawadi ni serious kiasi hiki.

ile 20 nilishindwa kutuma kwasababu hukutoa jibu sahihi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sasa mbona mwanzo nilivyopataja ulikubali kwamba ndiyo penyewe ila baada ya mimi kukumbushia ahadi yako ndiyo ukanikana ghafla??
hahahaha, sikujua kama hili suala la kuhaidi zawadi ni serious kiasi hiki.

ile 20 nilishindwa kutuma kwasababu hukutoa jibu sahihi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom