Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Jmaa.. nilimiksi hyo JackD doo kidogo nizime..
🤣🤣
Nikiona neno kuzima 🤣🤣🤣🤣
Jmaa.. nilimiksi hyo JackD doo kidogo nizime..
Share yako ipo pia ni swala la kukaribia tu.Savanna. Lol
Hii kitu achana nacho..ngoja nijaribu Kvant nayo🤣🤣
Nikiona neno kuzima 🤣🤣🤣🤣
Kama ni gari basi ni zile Rolls Royce Wraith.
Kwanini?Kama hujapima presha na ini.. em fanya taratibu.
Do it.Thank me later..Kwanini?
Haha Mkuu hapa ni katikati ya Morogoro na Iringa kabla hujafika Ruahathanks God, nimefika salama jijini mbeya.
picha yangu ya leo nikiwa safarini kuja mbeya.
kama wewe ni mzoefu wa safari za back to back za dar-morogoro-iringa-mbeya nitajie sehemu ambayo nimepiga picha hii.
ukipatia nitakupa zawadi.
View attachment 1247495
Hahahhahaa hahaha hili tatizo la wengi brounachafua hali ya hewa jfView attachment 1247439
Hii hutumii??Savvana sinywi
Nakunywa Tusker
Kilimanjaro
Lite zote
Budwiser
Heineken
Hennessy
Grants
Konyagi
Safari
J&B
...
.
.
.
.

thanks God, nimefika salama jijini mbeya.
picha yangu ya leo nikiwa safarini kuja mbeya.
kama wewe ni mzoefu wa safari za back to back za dar-morogoro-iringa-mbeya nitajie sehemu ambayo nimepiga picha hii.
ukipatia nitakupa zawadi.
View attachment 1247495
Mbeya ndio mkoa sijawahi fika na ninatamani kufika.. sijui nitafikaje huko. So Occupiedthanks God, nimefika salama jijini mbeya.
picha yangu ya leo nikiwa safarini kuja mbeya.
kama wewe ni mzoefu wa safari za back to back za dar-morogoro-iringa-mbeya nitajie sehemu ambayo nimepiga picha hii.
ukipatia nitakupa zawadi.
View attachment 1247495
Yaaani... dah. Uwepo wake nautambua
Tatizo lako mkuu hata tukitaja hizo zawadi hautoi, ile 20 ndiyo ukaamua kunikazia like nobody's business.
Mdai Mkuu....
ni kweli ni katikati ya morogoro na iringa, ila hujataja jina la sehemu husika.Haha Mkuu hapa ni katikati ya Morogoro na Iringa kabla hujafika Ruaha



sasa mkuu si bora hata mimi nilituma nikafuta wewe nina uhakika hujatuma picha yako hata moja