Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimenuna....[emoji20][emoji20]

Nimekasirika....[emoji35][emoji35][emoji35]

Kwahiyo ulishaona tangu ile ya kiwi cha macho cha kwanza ukajidai hujaona...

Siongei tena na wewe [emoji20][emoji20][emoji20]
Ya mwanzo nilikuwa sijaona I swear. Ya pili ndo nimeona...Gojazi & Classic. Wenye pesa zao wanafaudu!
 
Yaani Mnyamwezi wewe basi tu...

Unajua kupika matoborwa lakini au pigo zako ni caviar za Masaki na Sandtown tu? Hooovyo!




Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi?

Kwenye chai utatumia asali au sukari..?

Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...?

Bado nimekununia...πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜ž.
 
View attachment 2157399

Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi?

Kwenye chai utatumia asali au sukari..?

Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...?

Bado nimekununia...[emoji17][emoji17][emoji17][emoji20].
Mimi sinuniwagwi. Utajichosha tu. Unamnunia mzee wa miaka 76 ili upate nini? Laana ama?

Matoborwa na maziwa mgando kwisha kazi. Kinachofuata ni kusinzia tu yaani. Simpo laifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…