cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 Mar 20, 2022 #163,861 Ambition plus said: Naamini watoto wamelala,sasa ni wakati wa wakubwa ku selfika. Click to expand... Haya selfika hapa wee.
Ambition plus said: Naamini watoto wamelala,sasa ni wakati wa wakubwa ku selfika. Click to expand... Haya selfika hapa wee.
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 20, 2022 #163,862 Kasie said: Nimenuna.... Nimekasirika.... Kwahiyo ulishaona tangu ile ya kiwi cha macho cha kwanza ukajidai hujaona... Siongei tena na wewe Click to expand... Ya mwanzo nilikuwa sijaona I swear. Ya pili ndo nimeona...Gojazi & Classic. Wenye pesa zao wanafaudu!
Kasie said: Nimenuna.... Nimekasirika.... Kwahiyo ulishaona tangu ile ya kiwi cha macho cha kwanza ukajidai hujaona... Siongei tena na wewe Click to expand... Ya mwanzo nilikuwa sijaona I swear. Ya pili ndo nimeona...Gojazi & Classic. Wenye pesa zao wanafaudu!
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,187 Mar 20, 2022 #163,863 Mjep said: Hakika hiyo ndiyo kauli mbiu yetu mabaharia kama tulivtokubaliana kwenye kikao chetu cha mwishoππ Click to expand... Haya mfanye hivyo hivyo ili msilalamike sana kutuma na ya kutolea...π .
Mjep said: Hakika hiyo ndiyo kauli mbiu yetu mabaharia kama tulivtokubaliana kwenye kikao chetu cha mwishoππ Click to expand... Haya mfanye hivyo hivyo ili msilalamike sana kutuma na ya kutolea...π .
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,187 Mar 20, 2022 #163,864 cocastic said: Bibi naomba nione kidigo na mie, uwiiiii fanya fanya bas Click to expand... Pole mjukuu.... Mwenye picha zake kanijia juu nimeziweka muda mrefu watu wengi wameziona. πππ.
cocastic said: Bibi naomba nione kidigo na mie, uwiiiii fanya fanya bas Click to expand... Pole mjukuu.... Mwenye picha zake kanijia juu nimeziweka muda mrefu watu wengi wameziona. πππ.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 Mar 20, 2022 #163,865 Kasie said: Pole mjukuu.... Mwenye picha zake kanijia juu nimeziweka muda mrefu watu wengi wameziona. . Click to expand... Duuuh jomonee, mara 1 tyuuh.
Kasie said: Pole mjukuu.... Mwenye picha zake kanijia juu nimeziweka muda mrefu watu wengi wameziona. . Click to expand... Duuuh jomonee, mara 1 tyuuh.
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,187 Mar 20, 2022 #163,866 Ambition plus said: Kasie kasie kasie... Ni kitambo sasa sikuoni jamvini... U khali gani? Click to expand... Kweli ni kitambo, Mie Sijambo Buheri wa afya.. Nashukuru kunijulia hali.
Ambition plus said: Kasie kasie kasie... Ni kitambo sasa sikuoni jamvini... U khali gani? Click to expand... Kweli ni kitambo, Mie Sijambo Buheri wa afya.. Nashukuru kunijulia hali.
Ambition plus JF-Expert Member Joined Feb 23, 2018 Posts 6,403 Reaction score 12,020 Mar 20, 2022 #163,867 Kasie said: Kweli ni kitambo, Mie Sijambo Buheri wa afya.. Nashukuru kunijulia hali. Click to expand... Hakika Mungu ni mwema kila wakati, Itakua vyema kama tukiutendea haki uzi wetu pendwa,hata kwa selfie chache mpendwa.
Kasie said: Kweli ni kitambo, Mie Sijambo Buheri wa afya.. Nashukuru kunijulia hali. Click to expand... Hakika Mungu ni mwema kila wakati, Itakua vyema kama tukiutendea haki uzi wetu pendwa,hata kwa selfie chache mpendwa.
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,187 Mar 20, 2022 #163,868 Ambition plus said: Hakika Mungu ni mwema kila wakati, Itakua vyema kama tukiutendea haki uzi wetu pendwa,hata kwa selfie chache mpendwa. Click to expand... Anza nimalizie mpendwa... Leo niko shifti ya naiti...π. Nakusubiri uanze...
Ambition plus said: Hakika Mungu ni mwema kila wakati, Itakua vyema kama tukiutendea haki uzi wetu pendwa,hata kwa selfie chache mpendwa. Click to expand... Anza nimalizie mpendwa... Leo niko shifti ya naiti...π. Nakusubiri uanze...
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 20, 2022 #163,869 Kasie said: Anza nimalizie mpendwa... Leo niko shifti ya naiti.... Nakusubiri uanze... Click to expand... Yaani Mnyamwezi wewe basi tu... Unajua kupika matoborwa lakini au pigo zako ni caviar za Masaki na Sandtown tu? Hooovyo!
Kasie said: Anza nimalizie mpendwa... Leo niko shifti ya naiti.... Nakusubiri uanze... Click to expand... Yaani Mnyamwezi wewe basi tu... Unajua kupika matoborwa lakini au pigo zako ni caviar za Masaki na Sandtown tu? Hooovyo!
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,187 Mar 20, 2022 #163,870 Shimba Ya Buyenze said: Yaani Mnyamwezi wewe basi tu... Unajua kupika matoborwa lakini au pigo zako ni caviar za Masaki na Sandtown tu? Hooovyo! Click to expand... Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi? Kwenye chai utatumia asali au sukari..? Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...? Bado nimekununia...ππππ.
Shimba Ya Buyenze said: Yaani Mnyamwezi wewe basi tu... Unajua kupika matoborwa lakini au pigo zako ni caviar za Masaki na Sandtown tu? Hooovyo! Click to expand... Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi? Kwenye chai utatumia asali au sukari..? Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...? Bado nimekununia...ππππ.
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 20, 2022 #163,871 Kasie said: View attachment 2157399 Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi? Kwenye chai utatumia asali au sukari..? Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...? Bado nimekununia.... Click to expand... Mimi sinuniwagwi. Utajichosha tu. Unamnunia mzee wa miaka 76 ili upate nini? Laana ama? Matoborwa na maziwa mgando kwisha kazi. Kinachofuata ni kusinzia tu yaani. Simpo laifu!
Kasie said: View attachment 2157399 Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi? Kwenye chai utatumia asali au sukari..? Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...? Bado nimekununia.... Click to expand... Mimi sinuniwagwi. Utajichosha tu. Unamnunia mzee wa miaka 76 ili upate nini? Laana ama? Matoborwa na maziwa mgando kwisha kazi. Kinachofuata ni kusinzia tu yaani. Simpo laifu!
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,172 Reaction score 831,945 Mar 20, 2022 Thread starter #163,872 Kasie said: View attachment 2157399 Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi? Kwenye chai utatumia asali au sukari..? Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...? Bado nimekununia.... Click to expand...
Kasie said: View attachment 2157399 Nikuwekee na chai ya maziwa au ya rangi? Kwenye chai utatumia asali au sukari..? Utapendelea vya kuchemsha pekeyake au ungependa niviunge na karanga...? Bado nimekununia.... Click to expand...
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,172 Reaction score 831,945 Mar 20, 2022 Thread starter #163,873 Katibu muhtasi
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 20, 2022 #163,874 Lizzy said: Weeee....huko kwa big boys kabisa???π―π― Naaaah....bado sana aiseee!π₯΄ Click to expand... hata mmbuyu ulianza kama mchicha ππ
Lizzy said: Weeee....huko kwa big boys kabisa???π―π― Naaaah....bado sana aiseee!π₯΄ Click to expand... hata mmbuyu ulianza kama mchicha ππ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 20, 2022 #163,875 Shimba Ya Buyenze said: Tanzania hii au wapi? Watakuwa wanawapima(je)? Click to expand... πππ Hii tanzania, kuwapima simple wapo makungwiii wazoefu watakuwa wana test mitambo
Shimba Ya Buyenze said: Tanzania hii au wapi? Watakuwa wanawapima(je)? Click to expand... πππ Hii tanzania, kuwapima simple wapo makungwiii wazoefu watakuwa wana test mitambo
NDINDA Platinum Member Joined Apr 4, 2011 Posts 10,726 Reaction score 49,572 Mar 20, 2022 #163,876 Kwani mkate bei gani siku hizi
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 20, 2022 #163,877 Mshana Jr said: View attachment 2157418 Click to expand... haya mambo ndio yalifanyaga wengine tuwe na poor performance.. mnatoroka shule mnaenda mashambani kuchoma viazi au mihogo.. mnashinda huko ππ
Mshana Jr said: View attachment 2157418 Click to expand... haya mambo ndio yalifanyaga wengine tuwe na poor performance.. mnatoroka shule mnaenda mashambani kuchoma viazi au mihogo.. mnashinda huko ππ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Mar 20, 2022 #163,878 Gallius said: View attachment 2157225 Click to expand... Wowβ¦unakaa mhansome lohππππ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 20, 2022 #163,879
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Mar 20, 2022 #163,880 Jack Palladino said: Acha tuibie woteView attachment 2157228 Click to expand... Naam my shemdarling wangu
Jack Palladino said: Acha tuibie woteView attachment 2157228 Click to expand... Naam my shemdarling wangu