Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakujua wewe. Kamba sana. Wala sitii matumaini aisee...Kiwi cha macho. Kama cha Chonya of Chilonwa me!

Simba, ushawahi kuona mtoto anamuaibisha mzazi wake ugenini...?

Chakula kinaletwa mzazi anajihami, yaani huyu Kalunde hapendi kula mpunguzie hiko chakula hapo atachezea tuu akimwagemwage chini...

Mwenyeji wake anamwambia acha tuu akibakisha tutaweka kwenye friji, hivyo chakula kinaachwa kiwango kilekile....

Subiria sasa mtoto anaondoka kama yuko kwenye mashindano ya kula anamaliza chote....

😅😅mzazi anapiga funda la mate huku akijisemesha khaaa...! Huyu mtoto leo maajabu kamaliza....

Kalunde: antie, can I have some more...🤣🤣🤣🤣🤣

Kiwi cha macho....🤩
 
Simba, ushawahi kuona mtoto anamuaibisha mzazi wake ugenini...?

Chakula kinaletwa mzazi anajihami, yaani huyu Kalunde hapendi kula mpunguzie hiko chakula hapo atachezea tuu akimwagemwage chini...

Mwenyeji wake anamwambia acha tuu akibakisha tutaweka kwenye friji, hivyo chakula kinaachwa kiwango kilekile....

Subiria sasa mtoto anaondoka kama yuko kwenye mashindano ya kula anamaliza chote....

mzazi anapiga funda la mate huku akijisemesha khaaa...! Huyu mtoto leo maajabu kamaliza....

Kalunde: antie, can I have some more...

Kiwi cha macho....
"I am take this child to hospital. If police come tell him Chonya of Chilonwa me!"

Kiwi cha macho - kuona yasiyokuwepo. Kuwa na matumaini yenye ombwe. Kuota ndoto zisizo na uhalisia...Utata wenye fundo...nguzo ya barafu iliyofanywa kuwa ndiyo nguzo kuu katika jengo la moyo huu mkunjufu usio na mawaa!

Oooh! Kiwi cha macho!

Kasie Matata...

Kasinde (Mshindi!)....
 
"I am take this child to hospital. If police come tell him Chonya of Chilonwa me!"

Kiwi cha macho - kuona yasiyokuwepo. Kuwa na matumaini yenye ombwe. Kuota ndoto zisizo na uhalisia...Utata wenye fundo...nguzo ya barafu iliyofanywa kuwa ndiyo nguzo kuu katika jengo la moyo huu mkunjufu usio na mawaa!

Oooh! Kiwi cha macho!

Kasie Matata...

Kasinde (Mshindi!)....

Aahahahahhaaa Simbaaaa....!!

Kiwi cha macho kidumu milele 🤩.
 
Back
Top Bottom