cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Wameshamuharibu lect wao, hajui namna ya kutongoza anabaki tyuuh, "mie namuelewa yeye anajua tangu mda" anajua nn wee funguka mazima mtoto akuelew, daaaahHahahha wadada wa chuo sio poa...





Wameshamuharibu lect wao, hajui namna ya kutongoza anabaki tyuuh, "mie namuelewa yeye anajua tangu mda" anajua nn wee funguka mazima mtoto akuelew, daaaahHahahha wadada wa chuo sio poa...





Rafiki njoo Dm







cheki sasa rafiki tena, afu DM mnataka mkapige umbea? Mbna huyu mtoto sio mtu wa udaku? Hakika atalifanyia kazi hiliWameshamuharibu lect wao, hajui namna ya kutongoza anabaki tyuuh, "mie namuelewa yeye anajua tangu mda" anajua nn wee funguka mazima mtoto akuelew, daaaah![]()
Walianza Manchester utd juzi kati kuimba wimbo wake.
Walipofungwa,Mpira ulivyofika dakika za mwisho;Kuna jamaa akasema man u inukeni muanze kuimba wimbo wa Abiudi
"Teenda muujiza
Teenda muujiza
Usiache Bwana
Mwaka huu upite
Bila ku teeenda muujiza"
Alikuwa ameandika kwa kuivuta hiyo tenda kama anaomba vile.
Nilicheka nilitaka kupasuka.







cheki sasa rafiki tena, afu DM mnataka mkapige umbea? Mbna huyu mtoto sio mtu wa udaku?
One man down!!!!



Unaniua siocheki sasa rafiki tena, afu DM mnataka mkapige umbea? Mbna huyu mtoto sio mtu wa udaku?
One man down!!!!



Kweli kabisa Ila jamaa swaga zake bwana dahNa uliileta
Kwa wakati sahihi![]()



Unaniua sio![]()





leo nipo na lect angu, namsaidia maujanja ya kuopoa watoto wakareee. Ama neneMnamwaga maji tu wazee Mambo ya wkend
Wewe na lecturer wako mna vitukokwa kweli lol

Niachie Trinsley anenda nae taratribuleo nipo na lect angu, namsaidia maujanja ya kuopoa watoto wakareee. Ama nene
Mie kwangu ni burudaan toshaaa, afu mie unizoee tyuuh yaan.Wewe na lecturer wako mna vituko
You just made my night better.









