Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila Mungu anatuona tunachokifanya kwa huyu Mtumishi wake
Walianza Manchester utd juzi kati kuimba wimbo wake.


Walipofungwa,Mpira ulivyofika dakika za mwisho;Kuna jamaa akasema man u inukeni muanze kuimba wimbo wa Abiudi
"Teenda muujiza
Teenda muujiza
Usiache Bwana
Mwaka huu upite
Bila ku teeenda muujiza"

Alikuwa ameandika kwa kuivuta hiyo tenda kama anaomba vile.
Nilicheka nilitaka kupasuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…