Asome na aelewe sasa.una konfidensi heaven sent unamskia huyuuu!!sio rahisi hvyo mdogo wangu na haswaa ukizaa it needs courage na divorce ni last option ukiona hakuna namna tena ila kuna alternatives nyingi mnoo tunaziattempt I don't entertain divorce ila mpk ibidi sana my binamu unless komaa mpk kieleweke hawa wanaume ndo hawa hawa na sisi ndo sisi sisi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
afu tayari ujue!!
Muache hapa silali jus nasubiri nijue amefika or not maana simpati kwa simu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wale wajinga wananitajia habari za laki 2 huku hata elfu 10 sina
Ah wapi weeAsome na aelewe sasa.
Mtu kama anajua ataniletea drama basi asjje.
Akija ni mawili tu..tuishi pamoja au tugawane majengo ya serikali
Napenda sana fasihi na nimesoma vitabu vingi sana. Vya Shaaban Robert vyote, vya Kezilahabi vyote, vya Musiba vyote, vya Mohammed Said Abdullah vyote, vya Ngugi karibia vyote, vya Achebe karibia vyote...na vingi vya falsafa...Shemu umeongea kifasihi sana ila mmekuelewa!!!!yaani Weee kaaahh!!unafaa kua mwl wa kiswahili
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Afu saa nzima nawaitikia tu kama zoba
Dah
Hivi hapa nageuka ..ndio nastuka kumbe Abiudi ni baba mkwe
Pepo tokaaa
Selfika wewe...acha uchoyohivi ushawahi kua ktk mahusiano?
Ya nini sasa??hivi ushawahi kua ktk mahusiano?
Hallelujah
Oooooh hapo sawa mlongo, ila daah najisikia vibaya wazazi wakiachana, huwa tatizo kwa watotoAtaniharibia buree staki taabu miye hua wakitaka kuongea na mdingi nampigia anko wao anawaunganisha juu kwa juu!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wagawane mia mia
Kama rahisi vileee!!!ngoja ukue!!Mtu kama anajua ataniletea drama basi asjje.
Akija ni mawili tu..tuishi pamoja au tugawane majengo ya serikali
Ah wapi wee
Jambo unaloliweza usimwachie Mungu