cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Hebu leta hapa,Mdo mdo tunaendaa!!!ngoja nilete species ya misenyiii
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app






Hebu leta hapa,Mdo mdo tunaendaa!!!ngoja nilete species ya misenyiii
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app






Huyo nguruwepori atakayejichanganya kwangu amekwishaMtakatifu unavyoongea sasa. Subiri uingie ngomani bana - ngoma ya vurugu. Ngoma isiyo na mpangilio. Ngoma ya wehu (in Kezilahabi's voice), yenye midundo mchafukoge. Ngoma ambayo mchezaji mwenza ni "guruwe pori". Kama nakuona yaani na huu ubishi wako itakuwa burudani tosha![]()

Nimejaribu tu kuvaa viatu vya huyu dada.Atajua hajui.![]()
Nilishablok kitamboo wee!aniharibie miyeeKabisa
Na hakuna kumpa nafasi huyo bwege aje kubwabwaja lolote
Katiba mpya ni muhimu




akuuuhhh!!!Utajua hujuii!!Kazi ninayo mbona; utafikiri sio mtoto wa Abiud
Huyo mla senene huyu dah!Wee shindwa niko kungine kabisaa kwa bishangahapa nimefika sitoki mpk yesu arudi kututwaaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app



Natamani ningeukuta unaanza

Sasa kwenye ndoa kuna mbivu na mbichi, subiri uingie utajionea, mdogo ako nakuzoom tyuuh.Nimejaribu tu kuvaa viatu vya huyu dada.
Kuna wanaume wajinga duniani hapa.





Nilishablok kitamboo wee!aniharibie miyeeakuuuhhh!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app








khaaaah wee ni mzazi mwenza huyoooMimi hata hiyo jeuri ya kupanua domo lake na kubwabwaja asingeipataNilishablok kitamboo wee!aniharibie miyeeakuuuhhh!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

D 🥰🥰🥰🥰
Kuna wakati utafikiri kamekunywa kumbe hakuna ni upambe tuKhaaaaaaaaa



Shemu umeongea kifasihi sana ila mmekuelewaMtakatifu unavyoongea sasa. Subiri uingie ngomani bana - ngoma ya vurugu. Ngoma isiyo na mpangilio. Ngoma ya wehu (in Kezilahabi's voice), yenye midundo mchafukoge. Ngoma ambayo mchezaji mwenza ni "guruwe pori". Kama nakuona yaani na huu ubishi wako itakuwa burudani tosha![]()







!!!!yaani Weee kaaahh!!unafaa kua mwl wa kiswahiliHizo mbichi atakula aliyeziletaSasa kwenye ndoa kuna mbivu na mbichi, subiri uingie utajionea, mdogo ako nakuzoom tyuuh.![]()

Ndyooooooh shouzzzzzzzz ake, totolito lenyewe,Haya usiku mwema mlale unono!
#2016 huko bushi fulani hivi!View attachment 2155957







CuteeeeeeHaya usiku mwema mlale unono!
#2016 huko bushi fulani hivi!View attachment 2155957







