Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si umeona dada wa watu mzuuriii
Mpoleeee

Hilo guruwepori sijui hata lilimpata vipi aiseee
!!!!mama mkwe ananikubali mpk kesho aseehh na mashemeji and ila moyoni alishaondokaga yaani nna amani mnoo kwa sasa naongeaga kama story tu!!kurudi may be yesu arudi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ana bahati na ashukuru dada wa watu una roho nzuri
Hadi Anapata jeuri ya kukuambia eti usizae tena.

Hii nchi uhuru umezidi aisee

Ngekuwa mimi ningelipiga matukio hadi lipoteze akili kwa stress..
jamani dawa ya mjinga kumchora tuu!then changamoto ni sehemu ya maisha km hujapata challenges basu hujakua kiakili!kila mtu na zake!tunasemahe na maisha yanaenda!!!


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
!!!!mama mkwe ananikubali mpk kesho aseehh na mashemeji and ila moyoni alishaondokaga yaani nna amani mnoo kwa sasa naongeaga kama story tu!!kurudi may be yesu arudi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hakuna kurudi..tunasonga mbele kama injili ya paulo.


Mama mkwe hawanaga shida kabisa..
Viguruwe vyao sasa ndio vichomi.

Huyo mama atakuwa anamshangaa mwanawe alivyo hamnazo kukuacha.
 
Back
Top Bottom