Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Si umeona dada wa watu mzuuriii
Mpoleeee
Hilo guruwepori sijui hata lilimpata vipi aiseee









!!!!mama mkwe ananikubali mpk kesho aseehh na mashemeji and ila moyoni alishaondokaga yaani nna amani mnoo kwa sasa naongeaga kama story tu!!kurudi may be yesu arudiNafunga alfajir had jion, mzagamuo si usiku mnene?





Msamehe bhana, mlee watoto wenu. Kweli iv yaan.!!!!mama mkwe ananikubali mpk kesho aseehh na mashemeji and ila moyoni alishaondokaga yaani nna amani mnoo kwa sasa naongeaga kama story tu!!kurudi may be yesu arudi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ana bahati na ashukuru dada wa watu una roho nzuri
Hadi Anapata jeuri ya kukuambia eti usizae tena.
Hii nchi uhuru umezidi aisee
Ngekuwa mimi ningelipiga matukio hadi lipoteze akili kwa stress..










jamani dawa ya mjinga kumchora tuu!then changamoto ni sehemu ya maisha km hujapata challenges basu hujakua kiakili!kila mtu na zake!tunasemahe na maisha yanaenda!!!Hakuna kurudi..tunasonga mbele kama injili ya paulo.!!!!mama mkwe ananikubali mpk kesho aseehh na mashemeji and ila moyoni alishaondokaga yaani nna amani mnoo kwa sasa naongeaga kama story tu!!kurudi may be yesu arudi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
NyauuuuNafunga alfajir had jion, mzagamuo si usiku mnene?![]()







amri ya 6 inavunjwavunjwaaaNa kutupwa baharini kama Yonayaan wee daaaah.

Ana bahati na ashukuru dada wa watu una roho nzuri
Hadi Anapata jeuri ya kukuambia eti usizae tena.
Hii nchi uhuru umezidi aisee
Ngekuwa mimi ningelipiga matukio hadi lipoteze akili kwa stress..





uwezo unao sasa?Yaani huyo mwehu ni wa kufungwa jelaMsamehe bhana, mlee watoto wenu. Kweli iv yaan.

Tungekuwa tunaongea mengine saahiziuwezo unao sasa?

Wee shindwa niko kungine kabisaa kwa bishangaMsamehe bhana, mlee watoto wenu. Kweli iv yaan.



hapa nimefika sitoki mpk yesu arudi kututwaaa 





km kawaaaaah yaan.Tunasamehe ila haturudi nyumaaYaani huyo mwehu ni wa kufungwa jela![]()