Selfika na JF: Snap it. Show it

Chumba chako nilivunja nikafanya wardrobe. Hivyo utalala sebuleni ukirudi.

Hebu kwanza uweke hiyo kambo sawa kama sio wewe unahusika basi muombe sana Mungu akufanyie wepesi.
Nitalala hata nje[emoji23][emoji23][emoji23].
Sio mimi.. Mimi ni mweupe halafu pia unajua nguo za hivo sivai.
Acha nimuombe Mungu tuu.
 
Nitalala hata nje[emoji23][emoji23][emoji23].
Sio mimi.. Mimi ni mweupe halafu pia unajua nguo za hivo sivai.
Acha nimuombe Mungu tuu.
Uko kama mimi, nikivaa hivyo sivuki mlango wa chumbani, sijui ndio ushamba[emoji134][emoji134][emoji134]

Nilimaanisha kama sio wewe unahusika na sumbai kuchepuka. Si unajua wanasemaga sisi ndio chanzo.
 
Uko kama mimi, nikivaa hivyo sivuki mlango wa chumbani, sijui ndio ushamba[emoji134][emoji134][emoji134]

Nilimaanisha kama sio wewe unahusika na sumbai kuchepuka. Si unajua wanasemaga sisi ndio chanzo.
Kumbe wewe ndio umenirisisha ushamba wako eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sihusiki bhana ni vile wanaume hata ukimpa nyama kila siku atakula mifupa tuu[emoji23]
 
Kumbe wewe ndio umenirisisha ushamba wako eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sihusiki bhana ni vile wanaume hata ukimpa nyama kila siku atakula mifupa tuu[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hapa ni umempa mifupa katafuta nyama.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hahaha leo hamshindi[emoji3][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…