Selfika na JF: Snap it. Show it

wallah nacheka km chizi hapa uwiiiih
 
Ameeeeeeeen!!!!
 

Nikifika home nitakufafanulia maana ya majina haya na muktadha wake.

Mpwa ilibidi ajifunze ili aweze kuongea na bibi yake kwa sababu bibi alikuwa hajui lugha nyingine. Mpwa alikazana mpaka wakawa wanaelewana kabisa hata kusimuliana hadithi za Kisukuma, kuimbiana nyimbo na michapo mingine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…