Pombe hakuna mahali imekatazwa
Tena ikasemwa tunywe kwa kiasi
Umalaya
Waliambiwa aliye mwema awe wa kwanza kumpiga jiwe hakuna aliyethubutu
Ndio maana halua haina makombo
Mavazi yameelezewa vizuri kwenye wimbo ulio bora
Hakuna la ajabu hapo
Huo unaousema unafiq ndio kabisaa
Sodoma na Gomora zilipigwa kiberiti
Ushoga noma haufai