Selfika na JF: Snap it. Show it

Ungeona gap la point lililokuwepo kabla na Sasa plus mpira mwingi tunaoupiga, hakika yajayo yanafurahisha.

Hizo timu zitasubiri sana nakwambia [emoji123]
51 kwa 69,
51 kwa 70,
Hebu cheki hapo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
51 kwa 69,
51 kwa 70,
Hebu cheki hapo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mwanzoni lilikuwa zaidi na mbaya zaidi tulikuwa tunapigwa na hadi timu za middle table, Sasa hivi hadi City mwenyewe anaogopa kukutana na Arsenal hii ๐Ÿ’ช
 
mahondaw shouzzzzzzzz ake, miss u moaaaah [emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590]
Hebu selfika kwan bas jomoneeeeh, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ngoja nikague kague gallery hapa kama nitapatamo kapicha
 
Kuna siku nilikuwa namsikiliza
Nikajaribu kutengeneza picha,huyu dada Kwa hii sauti angekuwa anamuimbia Mungu huko kanisani.
 
Naunga mkono hoja,
Wanaume wanaoshabikia Asenali ni wavumilivu sana
Halafu hawana mdomo kama Hawa man UTD.
 
Mwenyeji wee ni mcharoooooh, [emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Ntazeeka mie wee bado, hongera kwa mzureeeeh na portable.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Asantee โ˜บโ˜บโ˜บโ˜บ

Uzeeshwe na nini sasa?๐Ÿ™‚ Wa mjini hatuzeeki sababu hatulimi ๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ