View attachment 2153684
View attachment 2153685
Hapo zamani za Kale tulipopata mtumbuizaji mwenye mashairi laini na Kiuno bila mfupa, homa zote za mafua zilikuwa zinakata Kila ukimtazama Kwa Luninga
Kweli wakati Ukuta, Ngoja niendelee kuvuta Kiko yangu hapa 🥱
Mwenyeji wee ni mcharoooooh,
Mbona Jana hukusema na nilikua hapoNyie mlioko Dom nna hamu na kukuu wa Tango nipeni ofaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
51 kwa 69,Ungeona gap la point lililokuwepo kabla na Sasa plus mpira mwingi tunaoupiga, hakika yajayo yanafurahisha.
Hizo timu zitasubiri sana nakwambia
Mwanzoni lilikuwa zaidi na mbaya zaidi tulikuwa tunapigwa na hadi timu za middle table, Sasa hivi hadi City mwenyewe anaogopa kukutana na Arsenal hii 💪
mahondaw shouzzzzzzzz ake, miss u moaaaah
Hebu selfika kwan bas jomoneeeeh,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
EwaaaNgoja nikague kague gallery hapa kama nitapatamo kapicha
Mwanzoni lilikuwa zaidi na mbaya zaidi tulikuwa tunapigwa na hadi timu za middle table, Sasa hivi hadi City mwenyewe anaogopa kukutana na Arsenal hii
Nimejikita kuangalia kimo
Kuna siku nilikuwa namsikilizaView attachment 2153684
View attachment 2153685
Hapo zamani za Kale tulipopata mtumbuizaji mwenye mashairi laini na Kiuno bila mfupa, homa zote za mafua zilikuwa zinakata Kila ukimtazama Kwa Luninga
Kweli wakati Ukuta, Ngoja niendelee kuvuta Kiko yangu hapa 🥱
Ubingwa gani??Karibu Chama kubwa la the Gunners, Mwakani ubingwa wa kwetu
Naunga mkono hoja,Kwenye haya maisha, kama Wewe ni mrembo hakikisha Mwanaume wako ni Shabiki wa Arsenal.
Hatujisifii ila hakika sisi ni wavumilivu mno, kama tumeweza kushabikia timu miaka 16+ bila ubingwa wa epl ndiyo tushindwe kuvumilia mahusiano
Gari Gani imewaka wakati mshachanganyikiwa tumeshawafikiaMsimu huu Etihad tunachukua EPL, na UCL, gari limewaka hivyoo.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na hicho kiuno chako kigumu kuzidi maisha yangu unataka utuwekee hapa?
Tukikucheka sasa?
Lenie na usikie 😅😅😅Kwenye haya maisha, kama Wewe ni mrembo hakikisha Mwanaume wako ni Shabiki wa Arsenal.
Hatujisifii ila hakika sisi ni wavumilivu mno, kama tumeweza kushabikia timu miaka 16+ bila ubingwa wa epl ndiyo tushindwe kuvumilia mahusiano🙊😂😂
Na ile michezaji ilivyo mivivu,si ingetelekeza timu,waende kulala usingizi uwanjani
Eti eehHata man city & liver, match hiyo n rahis kubet, city anachukua 3pts,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Asantee ☺☺☺☺Mwenyeji wee ni mcharoooooh,
Ntazeeka mie wee bado, hongera kwa mzureeeeh na portable.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
My ever-byuriful Nkamu. Kujiajiri kama huna discipline; kutakushinda pia mapema sanakuna muda nawatamani wanafanyabiashara, kuamka asubuhi uvivu jamani