Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiiih.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hata man city & liver, match hiyo n rahis kubet, city anachukua 3pts, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah we khaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Sasa hawa wanapitia kipindi kigumu ila bado wanaperform vizuri Jana wameshinda ugenini.

Naimagine liman u lingekuwa ndio linapitia haya,🤣🤣🤣haki ya nani 😂😂😂
Na netiboli zenu zile mngekuwa mnatandikwa hadi 30
Vijana wako busy na zoezi d
Wee the [emoji170] mmefuzu robo final UCL? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hongereni mnoo.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Msimu uliopita tulichukua ndoo

Msimu huu pia naona mambo siyo mabaya
 
Na hicho kiuno chako kigumu kuzidi maisha yangu unataka utuwekee hapa?
Tukikucheka sasa? 😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu pressure mnazifuata wenyewe kumbe, uwiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwenye haya maisha, kama Wewe ni mrembo hakikisha Mwanaume wako ni Shabiki wa Arsenal.

Hatujisifii ila hakika sisi ni wavumilivu mno, kama tumeweza kushabikia timu miaka 16+ bila ubingwa wa epl ndiyo tushindwe kuvumilia mahusiano🙊😂😂
 
Na hicho kiuno chako kigumu kuzidi maisha yangu unataka utuwekee hapa?
Tukikucheka sasa? [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea wee una nn lakini? Kiuno changu kilivyo laini kuliko urojo wa zenji, kinavyozungka sasa km feni mbovu isiyo na break,

Kuna kiumbe fulan huwa anasema "tulia kwanza utaniangusha bas au twende slow slow" maan sio kwa mzunguko huo, hapo sasa tena kwa style, huku wimbo ukinogesha zaidi. Weuweeeeeeeeh.

Mnicheke kukata viuno jaman? Maisha enyewe haya yalivyo akuuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli mnastahili tuzo, na mjengewe sanamu lenu. Uwiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] city itakua wapi? Liver? Acha drama babuuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ungeona gap la point lililokuwepo kabla na Sasa plus mpira mwingi tunaoupiga, hakika yajayo yanafurahisha.

Hizo timu zitasubiri sana nakwambia 💪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…