Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
Dogo anaishi sijui wapi.. swala mavazi lipo sana kitamaduni na ki mazingira.. kuna wadada na wamama nawajua wapo deep deep spiritual and Holy ila ukikuta min wanazo piga utapenda.. au suruali na wanapendeza.. mazingira waliyo kulia na tamanduni zao.. aende kuangalia kanisa la Joel Osteen.. labda ataachana na itikadi zake πππHapa naungana na wew hakuna hio dhambi kabisa maanake wazungu wanavopiga zile bikini zao vibukta wote Wana dhambi hah
Yes.! Mie ni mtakatifu sanaaa.. Kristo alinifia peke yangu.. na hilo halina ubishi.. maana for me utakatifu ni asili yangu ni nature haimuliwa na matendo yanguu.. ππππEwaaa
Mtakatifu
Hilo lipo wazi mbona na ushindi ushapata.
Wewe ni mtakatifu kuliko wote hii dunia,
Utakuwaje na dhambi kama mimi?
Unataka tena uhangaike kuprove utakatifu wako?
Taja hizo dhambi hapa, unafiki wenu leo unawaumbua,Sio dhambi, na usitake kusema dhambi kuwatia hofu watu.. iliyo dhambi acha isemwe dhambi na isiyo dhambi tutasema sio dhambi.. utabaki mahusiano binafsi ya Roho wa Mungu na mtu katika kumuongoza acha hiki na fanya hiki kutokana na kusudi la Mungu kwa huyo mtu.. maana ya dhambi yenyewe huenda hujui
Kabisa aisee kwenye mavazi hapo nitabishana mpaka asubuhiDogo anaishi sijui wapi.. swala mavazi lipo sana kitamaduni na ki mazingira.. kuna wadada na wamama nawajua wapo deep deep spiritual and Holy ila ukikuta min wanazo piga utapenda.. au suruali na wanapendeza.. mazingira waliyo kulia na tamanduni zao.. aende kuangalia kanisa la Joel Osteen.. labda ataachana na itikadi zake
Kuna ambaoNiite Kipong uone maajabu
Kwenye ndinga naamini hunipati wallah hivi, wee subiri ntakustua, c ni bagamoyo road?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Basi kama unajijua hivyo huna haja ya kuhangaika kuprove sana kwa watu wakujue ni mtakatifu sana ,Yes.! Mie ni mtakatifu sanaaa.. Kristo alinifia peke yangu.. na hilo halina ubishi.. maana for me utakatifu ni asili yangu ni nature haimuliwa na matendo yanguu..
Taja hizo dhambi hapa, unafiki wenu leo unawaumbua,hahahah watu weuweeeeeeeeeeeh, na bado mtaonesha rangi zenu halisi hapa.
Mkianzaga mapambio siyo ya kiswahili wala kiingereza, kujaza server tyuuh, leo tunashuhudia mbivu na mbichi hapa,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Inakuchoma eeh πππ.. vitani mshindwa hunyoosha mikono juu na kusepa.. Huna unalojua kwa habari ya dhambi.. na ubishi umekukaaa.. jifunze ufundishekeBasi kama unajijua hivyo huna haja ya kuhangaika kuprove sana kwa watu wakujue ni mtakatifu sana ,
Utakatifu wako utajifunua wenyewe.
Hawa madogo wako shallow Sana mkuu ndio maana Ni rahisi kupigwa sound na wachungaji uchwara wazee wa mafuta and the likesKwanza dhambi zipo kwenye category tatu.. Sin against God , Sin against yourself na Sin against your beloved ( ndugu).. unataka nianzie wapi.. pia nikuulize swali? Maana ya dhambi ni nini?
Umeshinda na dhambi zako
Wala sihitaji unieleweshe chochote..misumari kapigilie huko kwenye vipedo ili wazidi kuvaa.
Hizi kamasi kwamba zimeshindwa tu kutoka uje kuzitoa wewe?acha nimtoe mtu kamasi kwanza.. leo sina mishe nime chil na totoz hapa imeniwekea ka mguu
ππππ Leo hii na sie tuanze kuvaaa kama kina Mtume Petro au kina Daudi enzi hizoo πππππππ.. dah issue ndogo sana ya akili mtu anataka kutumia maguvu..Hawa madogo wako shallow Sana mkuu ndio maana Ni rahisi kupigwa sound na wachungaji uchwara wazee wa mafuta and the likes
Yaani unichome wewe na pedo?Inakuchoma eeh.. vitani mshindwa hunyoosha mikono juu na kusepa.. Huna unalojua kwa habari ya dhambi.. na ubishi umekukaaa.. jifunze ufundisheke
Kwahyo na wazungu wanaotetea ushoga wana dhambi?Hapa naungana na wew hakuna hio dhambi kabisa maanake wazungu wanavopiga zile bikini zao vibukta wote Wana dhambi hah
Wewe watu kuona wanacheka wanafurahi na wewe sio kwamba mpo kundi moja.. dhambi ni dhambi na haki ni hakicc wee achana nao, leo umeamini mwenyewee, nikiwaga nasema humu watu ni wanafiki hawajui wana amini na kusimamia nn, naonekana mja laana, leo wameonesha wazi wazi,
Wakianza kuweka pambio za kuabudu na kusifu, hivyo vifungu vya bible, tena kwa lugha zote, hahahahah leo watu wamejivua gamba na kuwa watupu, woiiiiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
acha nimtoe mtu kamasi kwanza.. leo sina mishe nime chil na totoz hapa imeniwekea ka mguu
Basi ndio ivyo umefuraaa hapooo ππππ.. usivyopenda kushindwaYaani unichome wewe na pedo?
Huwezi na haiwezi tokea.
Tupo kwenye mavaziKwahyo na wazungu wanaotetea ushoga wana dhambi?leo mmekamatwa woiiiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app