Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
ππππ chimbo.. pale kwingine upepo haujanivumia kabisa.. rahisi ma spy kukunasa geti linatazama kituo cha basi
ππππ chimbo.. pale kwingine upepo haujanivumia kabisa.. rahisi ma spy kukunasa geti linatazama kituo cha basi
Yaani wewe dah
Huwa nachekaga sana mtu akiingia kwenye anga zako halafu hiyo siku Livapuu wawe wameshinda na kale kavulana kako kawe kametupiamo goli. Ni burudani tosha yaani![]()

ππππ chimbo.. pale kwingine upepo haujanivumia kabisa.. rahisi ma spy kukunasa geti linatazama kituo cha basi
Kidogo,,, Kiazi kipoKeto?
Palikuwepo bibi

ππππ... 8 star toto la kinyamwezi mahaba yalipo lalia na kuamkiaView attachment 2149448
Hadithi njoo
Uongo njoo
Utamu kolea... π
Hapo zamani za kaleeeeee.......π.
View attachment 2149448
Hadithi njoo
Uongo njoo
Utamu kolea... π
Hapo zamani za kaleeeeee.......π.
Mwenzenu huba liko kwa roho....View attachment 2149448
Hadithi njoo
Uongo njoo
Utamu kolea... π
Hapo zamani za kaleeeeee.......π.m
eehView attachment 2149448
Hadithi njoo
Uongo njoo
Utamu kolea... π
Hapo zamani za kaleeeeee.......π.
Nimeona mguu... 8 star toto la kinyamwezi mahaba yalipo lalia na kuamkia

Mkuu ni kasie huyo ama?ππππ naona Mjep umeiotea π€£π€£π€£
hahahahaNimeona mguu
Upo kama wa wadada wa kizungu
Hata mkao
Dadek
Hapo uitafute tukuyu
Ukute na ile fog imetanda
Balaa mzee
ππππ kasie wa wapi huyu boss... huyuuu.. wengine wamelala sana hawajamuonaMkuu ni kasie huyo ama?
Ni boss wa wapi mkuu?ππππ kasie wa wapi huyu boss... huyuuuView attachment 2149495
πππ vitu vitamu mahala pa kumzika mkuu umeielewa niniNi boss wa wapi mkuu?
Iweke vzr au my wife wako?
Wateule mnapumzika pazuriiiii.....πππ vitu vitamu mahala pa kumzika mkuu umeielewa nini