Sio imani ni ukweli mtupu Redbull baba lao.. nakuwaga nazo kwenye begi kama sio begi kwenye siti ya nyuma ya gari huwa nazijaza kama dukani πππ bila kusahahu strawberry.. bajaji aliniacha salama na sasa hivi nipo Gairo baridi hapa kha ππ
Yaani jirani litumie hilo baridi kiufasaha maana huku Daslama Kimanzichana hapafai jua kali joto mchana hadi usiku, tunatiririka majasho utasema muda wote tunakimbizwa na mbwa...π₯΅ππ
Redbull ni ziadi ya baba lao, haijawahi niangusha.
Yaani jirani litumie hilo baridi kiufasaha maana huku Daslama Kimanzichana hapafai jua kali joto mchana hadi usiku, tunatiririka majasho utasema muda wote tunakimbizwa na mbwa...π₯΅ππ
Redbull ni ziadi ya baba lao, haijawahi niangusha.
Jirani unapita mle mle ππ...
baridi la gairo haijawahi niangusha.. ni kabaridi flani kanafanya bendera ya chuma mlingoti chuma na kamba yake chuma.. Dar es Salaam kama tanuru unaweza tamani kila kitu umalizie kwenye gari.. ππππ.. hapo kungekuwa na ka vienna coffee.. jirani huniangushi unajua jirani
Jirani unapita mle mle ππ...
baridi la gairo haijawahi niangusha.. ni kabaridi flani kanafanya bendera ya chuma mlingoti chuma na kamba yake chuma.. Dar es Salaam kama tanuru unaweza tamani kila kitu umalizie kwenye gari.. ππππ.. hapo kungekuwa na ka vienna coffee.. jirani huniangushi unajua jirani