Selfika na JF: Snap it. Show it

Kungwi uolewe na wewe sasa, na udumu kwenye ndoa yako. Maana makungwi kwa kuachika tu hawajambo
1st mzagamuo nimeufanya huku pete iko kidoleni inashangilia,niolewe mara ngapi tena? Ndoa ina 3yrs now, mama malezi twende taratibuu.

Kungwi haachiki ila mabwana ndo wanajiogopa kwa kuwaza wanachapiwa, ko wanaamua waachie ngazi, weuweeeeeeeeeh


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…