Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,473
Will do 😊😉Aisee hongera ,keep inspiring us ...
Soda zipo addictive mno , unaweza kuta unakunywa hata tatu kwa siku .
Mie nikienda mjini lazima nipate ka juice au ice cream kwanza nipooze koo 😅 .
Huwa naskip lunch hivyo ikifika jioni njaa kama yote hapo inabidi nile chakula kingi nishibe wakati sio healthy kabisa..
😆😆😆 Na hilo joto linavyoshawishi kunywa vitu baridi sio poa kabisa!!!
Ila ishu ya jioni unaweza ukawa unakula matunda ukirudi tu nyumbani ili muda wa chakula ukifika usiwe na njaa sana. Pia mchana....matunda yapo mengi sana sasa hivi, badala ya kuskip jumla...kula hata kaembe/ndizi/nanasi huko mizungukoni kuepuka hako ka bad habit.🙂
