cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Nasubir kwa hamu kuona.Hahaa tunafaidiana nitaweka tu ucjali nitakutag



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nasubir kwa hamu kuona.Hahaa tunafaidiana nitaweka tu ucjali nitakutag



mahondaw why u so speed like Husein bolt?
Mm nilikuwa najiandaa kumwaga sifa mithili ya SA
Narefresh tu nakuta peupeeee







Hawezi onaHuko miguuni toka maana wengine tumevaa min skirt utatuchungulia

Sasa sikia
Isiwe na marudio
Mimi nashusha mgazeti wangu hapa
Wakija wasome wapate mixed feelings
Tuwachekeeee






Nitamwambia wallah
Yan mm uwa napenda sana macho,
Dada una jicho la kike
Una jicho lile la kuongea lenyewe ‘beb am hot
Sipati picha ukishapata ka glass ka mvinyo![]()





wee macho yako je? 




Isingizie tu
Ila jicho unalo dada
Una jicho la kumvalisha bow/necktie mtoto wa mama mkwe.









👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Ooh Thanks for the helpful advice !
Joto hili balaa, unaona kabisa hapa lazima nipate kinywaji baridi .
Nitajitahidi kupunguza kula ovyo hasa nyakati za jioni ...matunda yanasaidia sana japo kuzingatia kila siku ndo shida hapo .
Mie hata sijaona, akuuuuh staki lol hebu weka hapa nione mie.Golden chance never come twice..... for the one last time hii ukipitwa baaassssi



Mie hata sijaona, akuuuuh staki lol hebu weka hapa nione mie.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Weuweeeeeeeee jicho kungu, jamaa anakojoa mwenyewe, watu woyooooooooooooh







...Mjukuu wangu hakutoshi? Hooovyoo!Habari zenu! Kwasasa niko free. Kama kuna mdada anataka mchepuko nipo free!![]()
Una hela? 😎Habari zenu! Kwasasa niko free. Kama kuna mdada anataka mchepuko nipo free!![]()
Jicho zuri Kama limekula widaKijambazi sana
Mpaka ninywe wine ndiyo yanakaa kike kikeView attachment 2146199
Msamiati mpya ‘kamisiHawezi ona
Si mnavaa
Na kamisi![]()
Hutaki nikuite Bebi..unaogopa nitakuharibia Kwa bwana Fulani siyo? Basi nimefutaHapo kwenye bebii ndio unaharibu kabisaaaaa dokta!!!!!