Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,272
Nimecheka 😂🤣🤣🤣Kabisa dia mambo yetu tuachie wenyewe . Hayanaga muongozo!😜😘
‘Kwamba hayana muongozo
Nimecheka 😂🤣🤣🤣Kabisa dia mambo yetu tuachie wenyewe . Hayanaga muongozo!😜😘
Namuaminia piaaaa 🤣🤣Aminaaaaaaaaa... T 1990 ELY hana makuu kabisa juzi aliniahidi viatu nilimuambia navaa size 39/40 namuaminia haniangushaji kabisa huyu msukuma!!😜😜
Nitazipata kweli? Maana wengine wanafuta baada ya kuweka Tu 😅Tafuta tafuta nimeshaweka nyingi nikiwa nimesimama rafiki![]()
Eeh his slogan mwenyew!😜😜Nimecheka 😂🤣🤣🤣
‘Kwamba hayana muongozo
Aiiish wallahi napata ushuungu Mimi 🥰😘😋
Yooooh!!!😯😯
Kwani kutuma kwa DHL sh. Ngapi??😵
Msupu Km weweTukiacha kuisingizia location
Sijui 360 plus macho ma3 original
We ni msupu 🥰
Na kichwa kinachangiaI like staili ya nywele umependeza sana.
Dakika sifuri naiweka hapaNikuone bana, Nimekumiss sana![]()
Aiiish wallahi napata ushuungu Mimi
Hii shape Kwa kweeeli dah!!

Depal mamboMtandao wetu tuachie
Deal na balance yako ya NMB![]()
MmmmmmmmhNamuaminia piaaaa![]()
We naweNext time nitatoa

Mmmmmmmmh
Unapenda viatu vyenye visigino virefu/vifupi?Aminaaaaaaaaa... T 1990 ELY hana makuu kabisa juzi aliniahidi kitu namuaminia haniangushaji kabisa huyu msukuma!!![]()