Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Kelele kimbaumbauMimi nataka wa pisi 4![]()
Kelele kimbaumbauMimi nataka wa pisi 4![]()
WoyoooooMa mchungaji Heaven Sent please Usinisahau mshono mmoja mattatta sana... kuna zawadi yangu ya wax toka kwa bosi ya mabosi bosi mukubwa! Sitaki kumuangusha kabisa bosiii!









Kelele kimbaumbau






Itabidi nimfanyie wepesi mtakatifu walau pisi 2 Sio kwa kunijaza hukuKelele kimbaumbau

! !!Siuoni vizuri kwa mbeleHivi unaonekana vizuri?

Kelele kwa boss lady akeeeeeeItabidi nimfanyie wepesi mtakatifu walau pisi 2 Sio kwa kunijaza kule! !!


















Fanya tu umpongeze aisee. Atakutungia na utenzi muda sio mrefuItabidi nimfanyie wepesi mtakatifu walau pisi 2 Sio kwa kunijaza huku! !!
Vaa miwaniSiuoni vizuri kwa mbele![]()
Vaa miwani
Au boss lady tumtumie ule mshono wa mbogamboga? Unaukumbuka?





AsubuhiFanya tu umpongeze aisee. Atakutungia na utenzi muda sio mrefu
Sitaki
Tuone huo kwa mbele.
Ngoja boss lady atanipa na huo wa mbogamboga maandalizi ya ukweni.
Naenda kukusemeleaSitaki

upi huo??? kuna mishono yako miwili fulani ninayo nimeshaisevu for further uses!Vaa miwani
Au boss lady tumtumie ule mshono wa mbogamboga? Unaukumbuka?

Huo sijawahi kuupost hapa. Ngoja ntakupigia picha yake. Utakufaa sana madamupi huo??? kuna mishono yako miwili fulani ninayo nimeshaisevu for further uses!
Eeeeh?????


Ukishashona utupostieupi huo??? kuna mishono yako miwili fulani ninayo nimeshaisevu for further uses!

