Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
hahahaha.unapambanisha? Chombo ya wenyewe hyNdio Msalimie kichitchat ivoivo!!!
Humu sie tunavuta siku tu
hahahaha.unapambanisha? Chombo ya wenyewe hyNdio Msalimie kichitchat ivoivo!!!
Nendeni kwa matajiri wetu wa Kanda ya Ziwa wawakopeshe Pick-up 🛻 muanze kutumia kwa usafiri badala ya kuwatesa Ng'ombe 😂Ngombe ni multipurpose mkuu , kwetu ni usafiri na ni nyama pia😂
hahahaha.unapambanisha? Chombo ya wenyewe hy
Humu sie tunavuta siku tu
Ni kweli Mkuu,Si ajabu kangekuwa domo zege
Ila ukweli usemwe. Boss Lady ni kati ya wale wanawake wachache ambao hata akivaa gunia otomatikale anatokelezea tu. Na hapo eti ni mama wawili!.
hahahaha endelea tu kunipima haiko shidaHahahaaaaa. Sawa bwana yaishe nilikua nakupima mjeda!
Nakusubiri Mama Mchungaji, leo ilikuwa nielekee Morogoro imenilazimu ni postpone safari.Ngoja nimbembeleze twende bonde la Usangu; kule tutakula mbuzi "kienyeji". Amazing sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Same here Headmaster. Uwe unanipitia basi hapa mndela wa kwanza 🤣🤣Heaven Sent leo nimechelewa staff wanguView attachment 2145219
Wakati wenzetu wa Misri wakiomba wapate ardhi kama ya Tanzania, Mungu alikuwa Busy kumfinyanga Priscallia
Ni kweli Mkuu,
Me mwenyewe isingekuwa Uzee haki ya nani ningejitosa, Binti MashaAllah yule 🙊🏃🏃🏃🏃🏃
Kweli mdogo angu; na ndiyo maana walimu hatuzeekiHeaven Sent.. ualimu ni wito.. acha tuwape watoto maarView attachment 2145221ifa
Wakati wenzetu wa Misri wakiomba wapate ardhi kama ya Tanzania, Mungu alikuwa Busy kumfinyanga Priscallia
Mungu fundi aisee![]()

Daah hivi Mazinyungu bado inahudumia na wanafunzi wasioona?hahahaha.kibao sijaona vzr.nilijua mazinyungu primary
Hayo ndiyo maneno sasa🤣🤣Nakusubiri Mama Mchungaji, leo ilikuwa nielekee Morogoro imenilazimu ni postpone safari.
Twende zetu tukachome Mbuzi huko Usangu 😋
Aah wapiHahahaha...
camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! 🤣😜😜
nadhani ila cna uhakikaDaah hivi Mazinyungu bado inahudumia na wanafunzi wasioona?
Camera yako 📸 pamoja na Miwani yangu haiwezekani vikanidanganya Kwa pamoja.Hahahaha...
camera tu mkuu!! Ukimuona utajificha mbona! 🤣😜😜