Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wewe unapuyanga? Sawa karibu Mtendeni basi ukirudi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja hapa na mwalimu mwenzangu mala moja

Karma..
IMG_20220310_102123_edit_2067747104371.jpg
IMG_20220310_102001.jpg
 
Kazi isiyo na stress kiiivooo... usipojisikia kufundisha unawapa wanaandika notes tu ndio ushaingia class lakini....
Ukiwa na stress zako kipindi kizima unawapa zoezi tu ndio ushaingia class hivo
unakaa zako nyuma ya darasa nakuwaambia tu acheni kelele !View attachment 2145326
Hahahaha madam umenikumbusha enzi hizo "nyie msome, msisome; mimi mshahara wangu upo palepale"
 
Back
Top Bottom