Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,123
- 6,207
Hapa ndipo moyo wangu ulipofarijikaHuo ni mkono wa kulia bana. Nina vidole virefu sanana vimeachana; mara nyingi kwenye picha vinaniharibia pozi hadi nikumbuke kujipozisha; ndiyo maana most of my pics huoni vidole. Afu wahenga wakati mwingine hata Pete hatukumbuki tumeziacha wapi.
Hii picha itafutwe mpaka ipatikane hii. Ilikuwa picha ya aina gani hasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama malezi nawee umeona? Jaman kwann sasa si ugelala tyuuh,. Hadi ukasave tena lol. Hahahahah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kawaida tu mdogo angu. Wengine tuliolewa vimbaumbau, sasa hivi pete zinabana, so naivaaga where necessary. Nasubiri faza hauz afurahi anichongee mpya za uzeeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unasahau vipi Pete?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Natumia boss😒voda hutumii???
Ma mchungaji bosi ya mabosi ameniahidi wax moja mattatta sana! please naomba nitafutie mshono niitendee haki wax yaukweee!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntairudia j2 nikiwa mzima, wasijar hawq wasioona, mie mzungu bhana sinaga uswahili, woooooiiiiiiiiHii picha itafutwe mpaka ipatikane hii. Ilikuwa picha ya aina gani hasa?
Uko class UDSM ama? [emoji16]
Weeeehhh....hatwarreeeeeTayar kuleeee mbna mlongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Aisee leo nimekubaliweee usimpimie kitoto shundu lipo!
Bado sanaaaa!!!ahadi hujatimiza byeeee[emoji99][emoji99][emoji99][emoji99][emoji99][emoji99][emoji99][emoji99][emoji99]Hili jina tulifuta hili
Kimebaki nini tena tumalize?
Lol umechelewa nishaitupia hapa... tufanye kesho dia!Natumia boss😒
Mimi itakuwa heri nisahau kidole sehemu kuliko Pete aiseeeeeeeHuo ni mkono wa kulia bana. Nina vidole virefu sanana vimeachana; mara nyingi kwenye picha vinaniharibia pozi hadi nikumbuke kujipozisha; ndiyo maana most of my pics huoni vidole. Afu wahenga wakati mwingine hata Pete hatukumbuki tumeziacha wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vita ni vya Bwana mkuu. Tusiogope!
Jaribu huu Boss Lady...[emoji16][emoji16][emoji16]Ma mchungaji bosi ya mabosi ameniahidi wax moja mattatta sana! please naomba nitafutie mshono niitendee haki wax yaukweee!!
Huogopi kupoteza? Maana kuvua na kuvaa mbna kazi sana. Kwakua sio msahaulifu. [emoji23][emoji23][emoji23]Kawaida tu mdogo angu. Wengine tuliolewa vimbaumbau, sasa hivi pete zinabana, so naivaaga where necessary. Nasubiri faza hauz afurahi anichongee mpya za uzeeni
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeeehhh....hatwarreeeee
Atashindwa kutembea vizuri bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jaribu huu Boss Lady...[emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2143847View attachment 2143849View attachment 2143850
Nakumbuka boss ladyMa mchungaji bosi ya mabosi ameniahidi wax moja mattatta sana! please naomba nitafutie mshono niitendee haki wax yaukweee!!
Wanawake huwa hawashindwi kutembea vizuri hata wavae nini! Na Boss Lady unavyomuona ni mtu wa kutembea yule? [emoji15]Atashindwa kutembea vizuri bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Usijali mkuuSimu yangu mpaka imeishiwa moto. Asanteni nyote kwa siku nzuri. Mkuu Brian Spilner endeleza mapambano kesho nitataka kujua umefikia wapi.
Be blessed everyone [emoji1545][emoji1545][emoji1545]