cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Anazingua kurudia, ukiichelewa kidogo ndo imetoka.
Na huwa hatoi ahadi kama watu wengine ni ghafla tu kwakweli.





poleeeeeh sanaaa. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Anazingua kurudia, ukiichelewa kidogo ndo imetoka.
Na huwa hatoi ahadi kama watu wengine ni ghafla tu kwakweli.





poleeeeeh sanaaa. jamani shos nifanyie wepesi kule basi!!Nimelipua uzi wee hujaona, na sirudiii naogopa pin lol
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ukiweka kitu hapa maana yake unataka kionwe na public. Huna mamlaka nacho tena mjukuu. We relax tuOle wake awe amesave, afu akutumie PM wallah ntagombana nae.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app



Naomba nibishe kwa niaba yake😅😅Mkuu huyo akikuwekea nitaweka familia yangu yote bila imoj.
Huyo anawekaga kama kimbunga, na harudiagi. Wanaomtingaga sana anawapelekea pm, hao ni wadada tuu.
Halafu unaweza usimuone akichangia saa nne mpaka saa nane usiku, hata umtagi hajibu, jiroge utupie picha, anakuquote anakwambia asante usiku mwema.
Heaven Sent njoo ubishee
Yeah! Tayari mkuu. Mama Mchungaji in da hausi. Na si ajabu akaselfika leoNimesema mimi
Shimba Ya Buyenze

🤸🤸🤸🤸🤸💃Ewaaaaaa..............
Mambo ni motoooo🔥
Tufanye tuwe na roho mtakatifu kama wakwake.
Ole wake awe amesave, afu akutumie PM wallah ntagombana nae.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Hapa tyuuh na sio ruhusa kusave, wallah kwa hili nipo serious, sitaki utani naye kabisaa, km yeye sio mnafiki atume hapa.watu wote waone, huko PM kwann, atume hapa km yeye sio mnafiki.Ukiweka kitu hapa maana yake unataka kionwe na public. Huna mamlaka nacho tena mjukuu. We relax tu![]()
We bisha ila si umemuona kaibuka na koment moja af kasepa tenaNaomba nibishe kwa niaba yake![]()



Tunataniana tu nawe mjukuu kha!Hapa tyuuh na sio ruhusa kusave, wallah kwa hili nipo serious, sitaki utani naye kabisaa, km yeye sio mnafiki atume hapa.watu wote waone, huko PM kwann, atume hapa km yeye sio mnafiki.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Aguswe huko alikoYeah! Tayari mkuu. Mama Mchungaji in da hausi. Na si ajabu akaselfika leo![]()
Mama mchugaji si wa mchezo mchezo naaminianakuja kukushangaza myda si mrefu na bonge la selfie......We bisha ila si umemuona kaibuka na koment moja af kasepa tena![]()
We bisha ila si umemuona kaibuka na koment moja af kasepa tena![]()






Hauna udomo zege wewe ..Halafu
Nikikwambia
Mimi ni domo zege
Unabisha