reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,426
- 29,306
Nawe umefunga Pm mwee!!



nakuja inagoma aseehhh!!!ngoja nifungueNawe umefunga Pm mwee!!



nakuja inagoma aseehhh!!!ngoja nifungueTunataniana tu nawe mjukuu kha!
Usiharibu vibe basi bwana.
Let's just laugh and have fun bana...
Leo ni siku ya wanawake...tufurahie tu...
Hakuna aliyetumiwa picha yako PM. Why? How? When? Which?...




najua but ananiumiza khaaah, nilikosea kutuma hiyo picha, ikajitouch lol. Mama Mchungaji. Tupo hapa mama tunasubiri usindikize siku ya akina mama duniani na kaselfie kamoja matata sana kalikojaa upako. Usituangushe pulizi!Aguswe huko aliko
Fungua dakika sifuri tuNawe umefunga Pm mwee!!nakuja inagoma aseehhh!!!ngoja nifungue
RelaxAfu nipo serious na sicheki, sitaki utani kabisaa, km wee bingwa was kusave na kuwatumia watu huko privately, bas weka hapa waone watu wote. Msieeeeeew.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Hebu irudie hiyo picha inayosemwa hapa
Relax
Sina hizo mambo
Uwe na wakati mwema





khaaaah wee unanirusha roho bhana, ningetoka JF mazima mbna. Woiiiiiiiiiih. Hebu irudie hiyo picha inayosemwa hapa
Tutaihitaji hiyo kwenye ule utafiti kwa vitendo

Hebu irudie hiyo picha inayosemwa hapa
Tutaihitaji hiyo kwenye ule utafiti kwa vitendo






sio nzuri kimaadili bhana wee. @Heaven Sent najua unasoma hizi. Unasubiri tuselfike sio.Mama Mchungaji. Tupo hapa mama tunasubiri usindikize siku ya akina mama duniani na kaselfie kamoja matata sana kalikojaa upako. Usituangushe pulizi!





yaan wee unanifanya nisiwe na amani, afu unavocheka hivi ndo kabisaaa. Niko tayari kuipokea kwa namna mbadala


Niko tayari kuipokea kwa namna mbadala
Hizi tafiti ni muhimu sana![]()





toka hapa. LolUwe na amaniyaan wee unanifanya nisiwe na amani, afu unavocheka hivi ndo kabisaaa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Atakua amefaidi sana huyu, sio bureeyaan wee unanifanya nisiwe na amani, afu unavocheka hivi ndo kabisaaa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Atakua amefaidi sana huyu, sio buree

Me niko serious et..


Tupo woteyaan hivi humu ndani shapeless ni pekee angu tyuuh, wengine wote mmebarikiwa yaan, woiiiiiiih.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
