Chikumbalagaa!!!Tatizo linakuja pale ninapoweka picha ya handsome alafu,nakutongoza huku wewe ukiwa na imagination za jinsi avatar yangu ilivyo.. siku tunakutana mambo yanakuwa hivi..tusikimbiane tuView attachment 2143359
much Congrats wii!!! hakika ni raha sana 🤩🤩♥️♥️!kama kupendwa napendwa kimebaki nini hapa duniani?!!!
nimeyapatia haswaaa!!!natamani dunia ijue yooote na haswaaa ex wangu yule ngurue poriii!!!!
!!!!
Mimi Tena atanisikilizia wapi?Si bora wee ex wako, atakusikiliza
Mie Dent ake anielewe wapi?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

kama kupendwa napendwa kimebaki nini hapa duniani?!!!
nimeyapatia haswaaa!!!natamani dunia ijue yooote na haswaaa ex wangu yule ngurue poriii!!!!
!!!!














Woiii!tigo kama tigooo!!!nakupendaga apo tuuu
reymageKua na shukrani we mngonii!!mweeehhh
Dogoo
Umenifurahisha hapo kwenye nguruwe pori![]()







nakumis sanaaa!!!!mnooooo!!!uko busy nawadaiz!!Wadau ongezekeni kufunga mkono juhudi hizi za vocha Kwa kupost vocha



Asanteeee wizo km wizoooUsijali.... Umepata
Wadau ongezekeni kufunga mkono juhudi hizi za vocha Kwa kupost vocha![]()




acha kabisaaa🤸🤸🤸🤸💃💃😘😘🤩🤩Asanteeee wizo km wizooo
Hauna shoo mbovuuu!!!!
Kuna muda mtu unapendwa Hadi unajiuliza hivi kwanini muda wote ulipoteza na manguruwepori huko wakati Kuna watu wanajua kupenda jamani.Dogoonakumis sanaaa!!!!mnooooo!!!uko busy nawadaiz!!
Eehh!!!alidhani sitapendwa tena!!!!sasa napendwa mpk naogopa atii!!afu nanenepaa mnooo!!!!
Uzi unazidi kunogaacha kabisaaa
Balaa na nusu raha mpk baasiUzi unazidi kunoga
Basi wavizia vocha tunafuraaaahi.
Hakuna kitu kinaleta raha kama kuotea vocha ya humu.
Hata kama ni jero ila furaha yake huwa ni kubwa mno aisee.