cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
nitamnunia mamaaa Heaven Sent 😢😢
Mie mbona hutaki kuja kunipokea nitanunaaa 😒😒😒😒
Nkamu wewe nakutumia zote zilizokupita. Huwezi kupata tabu wakati dada ako nipo hapaWengi tunaumiaga sema basi tu wengine tunaogopa kuomba tutaonekana wasumbufu maana tunapitwa kila siku tutaomba ngapi sasa![]()
Abee nkamuNgoja tumuite aje aselfika sasa hivi maana huu ndiyo muda muafaka siyo asubiri ulale ndo apost
Heaven Sent kuna ujumbe wako hapa popote ulipo tafadhali jongea hapa nkamu



Tafadhali nakuomba kwa niaba ya wanyaki
Wewe si umeshatoka kwenye shuka; fanya uselfike muda huuTafadhali nakuomba kwa niaba ya wanyaki
Uselfike wakati huu wamelalamika sana unawatenga
Naomba niwaite Saint Anne Karma njooni huku amekujaa kuselfikaa




wee mnunie tyuuh, mama mtumishi ni pisi ya kwenda, toto fulan limepanda hewan, shape dondola, rangi ya chocolate, awwwww poleee kwa kupitwaaa. UwiiiiiHebu sema nikupokeleee wapi?Mie mbona hutaki kuja kunipokea nitanunaaa![]()















, niko pekee angu hapa. Kaka hapa hapa usitoke nkamuWewe si umeshatoka kwenye shuka; fanya uselfike muda huu
Nakushushia mzigo live hapa bila chenga usitokeMjep hebu selfika hapa, ushatoka huko kwenye duvet,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
nkamu maana ake nn?ni lugha ya wapi?Kaka hapa hapa usitoke nkamu
Tupia na wewe mkuu hata kidole tu chiefNasubiri mtu atupie selfie mjue
Hii code ya kwetu unyakini😅nkamu maana ake nn?ni lugha ya wapi?
Kwendaa