Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
We mzee umechanganywa na picha ya sakayo si etiHahahaha
We mzee umechanganywa na picha ya sakayo si etiHahahaha
Dah, aseeHuyo mzee kanishinda mie
Bora yako. Me kimlonjo afu juu unajua miili yetu ya kinyaki imejaa kama nanyanyua chuma; basi shughuli bin taabu


Ebu hurumia mbavu zangu
HakunaaaMbona ipo, angalia vizuri.
Najuta kukufahamu. Em niwekee kwanza hiyo picha uloifuta kabla sijafa kwa umbea




Nini mbaya?daaaaa
Mdanganye tu mwenzio.Wamekuachia milonjo kama yangu![]()
Ebu airudishe jamani
Bana weee usiniweke roho juu kama nakula tambi; just do the needfulMbona ipo, angalia vizuri.
Kumbe ananifariji tu?Mdanganye tu mwenzio.
Cha moto nakiona; umbea mbaya jamani khaa
Najua kufa haikufiii ilaaa....
HahahahaWe mzee umechanganywa na picha ya sakayo si eti
Kwahiyo auntie tunabishana?Hakunaaa
Hahahha ukuje bwana nikupeleke tukanunue
Kabisa. Anajifanya hajui roho inavyouma ukipitwa na umbeaBana weee usiniweke roho juu kama nakula tambi; just do the needful






We shukuru Mungu nimekupa huo urithi wa mileleKumbe ananifariji tu?


Kupitwa na umbea inauma jamaniiiCha moto nakiona; umbea mbaya jamani khaa



Haha kula tambi ni zoezi tosha la moyo na roho
Roho juu kama unakula nini?
Waluguru wananiharibia mtoto haki!!!