Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Acha tu; wambea tuna tabu
Kupitwa na umbea inauma jamaniii![]()
Kupitwa na umbea inauma jamaniii![]()
Mzee huyo mdoli hapo juuni ka teddy bear kaukweli au ndo mmoja wa misukule yako nini Ila watu twaona ni ka teddy bear?!
Rangi adimu..
Waipiga peke yako hii?
UnazopostigiZipi hizo?![]()
Sio namdanganya ndio ukweli huo watu na milonjo yetuMdanganye tu mwenzio.
😆😆😆Hakuna Cha kuogopa mbonaWanaogopa![]()
Hakuna niko na milonjo kama yako mama mchungajiKumbe ananifariji tu?
Hatubishani auntie ila hakunaKwahiyo auntie tunabishana?
Zipo mbona!!!Unazopostigi
Tunaogopa nini?Wanaogopa![]()