Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
KhaaaaaaAnachepuka.
Hahhaa salama mama mchungaji kiukweli nimekumissZa saa hizi mama Muinjilisti
Najuta kukufahamu. Em niwekee kwanza hiyo picha uloifuta kabla sijafa kwa umbea
Dota wewe si umerithi kwangu, ulitegemea nini?
Fanya kukumbuka basi.Nishasahau jamani
Hahhaha nacheka mimiNajuta kukufahamu. Em niwekee kwanza hiyo picha uloifuta kabla sijafa kwa umbea
Wamekuachia milonjo kama yanguUsinicheke eti mama Muinji

MmhFanya kukumbuka basi.
Hahhaa salama mama mchungaji kiukweli nimekumiss
Hahahaa kwani ameshaifuta
Hahahaha, acha tu hy pichaAbee mzee wake Shunie
HahahahaUmemchanganya mzee wangu![]()
Wamekuachia milonjo kama yangu![]()
Hahahha ukuje bwana nikupeleke tukanunueUmemissika pia mpendwa. Nakuja kuangalia nywele za mbrazil; si vizuri kupendeza peke yako
Ebu airudishe jamaniKaifuta eti