Hiyo ilikua mlo wa Jana usiku. Mara nyingi usiku sipendi kupiga heavy weight. Ntasinzia au kuchoka wakati natakiwa nikae macho kufanya kazi.
Ila sio Kila siku. Inategemea na ratiba.
Kama hapa si unaona zagazaga nyingiiii
View attachment 2139421
Heaven Sent atakuja kutoa maelezo zaidi