Kila kitendo cha dhambi ambacho mwadamu hufanya, huondoa sehemu ya upendo wake kwa Mungu ( huondoa sehemu ya maisha ambayo Mungu amempa mwanadamu), dhambi inafanya maisha kuwa mafupi you know
.. The good things neema ya Mungu ipo kuturudisha katika pendo letu la kwanza..
Ufunuo wa Yohana 2:4
Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza.
Ufunuo wa Yohana 2:5
Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.
Furahiday njema..