nna maeneo yangu napuyanga kwa miguu mie, hasa nyumbani nikitoka asubuh tukutane jioni, ni mizururo com, mie ujanja wangu ni home, ugenini hapana, afu soon ntakua hapo moro town kwa siku 3 then nasepa home huko bondeni,
nlishindwa kujizuia acha nilie machozi yanatoka, bas wamama wa pale abiria wakaanza kuchamba mawakala, ndo ilikua sku ya kwanza naingia stand ya msamvu, khaaaah