Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja nikafikirie nitakujibu, ila sasa shida yako hata nikikubali mapenzi yako ni ya public tu, tukiwa 'chobis' unakuwa mjeuri hatari..!!πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ§šπŸ§šπŸ§šπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
It’s srobaki sazdei, ngoja nikayatafute ya chobis nikuprove wrong.
 
Endelea endelea....maana nimeanza kusikia harufu ya free πŸ’° πŸ€‘ kwa mbaaaali πŸ˜‹
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ weee hakuna kibunda cha freee wala ku download kibundaaaa.. kazi kazi.. Tuna miiko mitatu.. Uvumilivu ( ili kuwa katika mda sahihi na entry sahihi), Risk Management ( usipoteze capital, usipoteze, win:lose.. win ratio iwe kubwa zaidi, lot size calculation etc), usipoteze pesa.. na hii ndio sheria mama.. 😎😎😎😎... zingine ni mbinu kama mbinu zingine ambazo zinakuja na aina ambayo unataka.. But Forex ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…