Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nijikute tuuuu
Hebu muombe airudie ya leo.
Inaonekana we ukimuomba hachomoi.
Nijikute tuuuu
Hebu muombe airudie ya leo.
Inaonekana we ukimuomba hachomoi.
Mmeona wallahi!kishunduu!huna tumbo!mremboo!!itoshe kusema












!!!beautiful aseehh!kishundu kwio sanaKujifungia wapii!ulinikaushia ukija uniletee kuku wa Tango Bar na juice yao!tafadhali na kama kuna mwana jf wa Dom afanye hvyo anipeleke tango nkale kuku wa kienyeje na juice ya Karanga
Hebu muombe airudie ya leo.
Inaonekana we ukimuomba hachomoi.
Sina deni na wewe.
Ulichagua kujifungia ndani.




Huoni mbele nimeicrop sana? Kitambi ndiiiiMmeona wallahi!kishunduu!huna tumbo!mremboo!!itoshe kusema!!!beautiful aseehh!kishundu kwio sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mara ya mwisho nilikula kuku mbichi pale, palinichefua kweli. Ila kabla ya hapo, nilikua naenjoy sana kuku wao.Kujifungua wapii!ulinikaushia ukija uniletee kuku wa Tango Bar na juice yao!tafadhali na kama kuna mwana jf wa Dom afanye hvyo anipeleke tango nkale kuku wa kienyeje na juice ya Karanga
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ntakushtua siku ya marudioSasa si hatujaiona mama pasta
Si kama ulivorudia hiyo kwa reymage
Pole sana aseehh!ilikuaje?!!Mara ya mwisho nilikula kuku mbichi pale, palinichefua kweli. Ila kabla ya hapo, nilikua naenjoy sana kuku wao.


looh!sasa fanya baasi unipeleke miye,maana Dodoma nzima napajua pale na Msalato nilipelekwa na shoga anguWe ushawahi ona tambi langu binaa!Huoni mbele nimeicrop sana? Kitambi ndiiii
Mrembo shoo;have you ever been contesting in modelling!!?Nijaze tu bina






Ukiirudia leo naanza kusali kanisani kwako na nitapost tenzi mbili kila siku, asubuhi na jioni, kwenye jukwaa hili.Ntakushtua siku ya marudio
Hahaha bina sijawahi banaMrembo shoo;have you ever been contesting in modelling!!?
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sidanganyiki ng'oooooooUkiirudia leo naanza kusali kanisani kwako na nitapost tenzi mbili kila siku, asubuhi na jioni, kwenye jukwaa hili.
akae kutulia wananirushaga roho sana hawa na mapicha picha Leo mmekuona liveNtakushtua siku ya marudio



.

wangejuaa!kuna vyumaaaLoohh!sio kwa kimo hiko bwana weeehHahaha bina sijawahi bana
Siumii; vina support ya kutosha tu




aaah wapi wee sema ushazoea,Wewe tapeli wa digitalUkiirudia leo naanza kusali kanisani kwako na nitapost tenzi mbili kila siku, asubuhi na jioni, kwenye jukwaa hili.





Wewe tena ndo wakunipiga majungu. Dunia hadaaakae kutulia wananirushaga roho sana hawa na mapicha picha Leo mmekuona live.
Halafu eti jf wadada wana sura za baba!wangejuaa!kuna vyumaaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app