cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Takuchapa..





na nn fimbo ya mti au Ile ya nyama? Kuwa specific bas nawee lol.Takuchapa..





na nn fimbo ya mti au Ile ya nyama? Kuwa specific bas nawee lol.Mmh kijana unapoteaewaaaaa.... linapigwa mbungi matata hata kitanda kichakae kabisaa.. mkipumzika unaamka baada ya siku nne
Mpeleke fellowship au ibada za vijana Huyu 9.8ms squared naona akina cocastic wanamfundisha mabayaHata sasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza, Ebeneza
Sihitaji hatua tano ndipo niseme
Hatua ni moja nasema ni wewe
Si kwa ujanja wangu, si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako nimefika hapa
Kwa makubwa ni wewe
Kwa madogo ni wewe
Si kwa ujanja wangu, si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako nimefika hapa
Mpeleke fellowship au ibada za vijana Huyu 9.8ms squared naona akina cocastic wanamfundisha mabaya





mabaya yepi hayo?
😒😒😒 kweli naona hata mie kama napotea poteaaa.. ila mama pastaaa Heaven Sent kanikaushiaMpeleke fellowship au ibada za vijana Huyu 9.8ms squared naona akina cocastic wanamfundisha mabaya
Kwa kweli inabidi urudi kundini........ingawa kwa mwanaume kubadili mboga ni kutafuta new managerial skills
Mkuu upo Bariadi-Simiyu?
Nami nipo hapa hapa Sunga nakunywa Heineken.Mkuu upo Bariadi-Simiyu?
Nipo hapa SUNGA KINGDOM HOTEL tuonane
Nimekuona nakuja mkuuNami nipo hapa hapa Sunga nakunywa Heineken.
Njoo hapa chini….
View attachment 2133228
View attachment 2133229
Hahahaaaaa poa poaNimekuona nakuja mkuu