Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata sasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza, Ebeneza

Sihitaji hatua tano ndipo niseme
Hatua ni moja nasema ni wewe
Si kwa ujanja wangu, si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako nimefika hapa

Kwa makubwa ni wewe
Kwa madogo ni wewe
Si kwa ujanja wangu, si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako nimefika hapa
 
This film is surely an enchantment
Got four of its songs in my playlist
Screenshot_20220227-144500_Video%20Player.jpg
Screenshot_20220227-150000_Music%20Player.jpg
 
mara nyingi huwa warembo wanatumika sana kwenye shughuli za kijasusi na huwa wana mafanikio makubwa sana, nafikiri hata DELILA alikuwa jasusi
"Delila akanung'unika akisema hunipendii, kama ungenipenda usingenificha siri zakoo. Samson kwa kuzidiwa akatoa siri. Tangu nizaliwe wembe haujapita kihwani mwangu......"
--
Delila alikuwa kachero wa hatari sana.
 
Back
Top Bottom