Badiguy
Senior Member
- Nov 9, 2021
- 188
- 560
Aiseeeee.....

Aiseeeee.....

aaaah wapi wee kujiendekeza tyuuh.

Wa kwanza kabisa siti ya mbele upande wa dereva nimekaa dirishani naona miti inakimbia kwa kurudi nyuma








Wacha weeehh!!!Dr leo hauko zamu? Unajua wembamba ndo wazito? Mifupa na nyama ina uzito mifupa wee hujui?






Wengine tupo singo jamani,mtasababisha usiku tusilale tukaishia kupiga Nye**o usiku kucha

Weuweeeeeeeeeeeeeeeh







Bila shaka Wamempasua!! Pole na Hongera sana mkuu!
Tangu wifi ako ajifungue hajamaliza miezi sita. Hizi dawa zako zinanichangamsha sana.![]()
Umenishinda tabia we mtotoView attachment 2132357






mngoni mwenye matashititi yake mjini, weuweeeeeeeeeeeeh.Hapana, ni natural, ni vile tuu ilishauriwa pumziko flan kwa afya ya mama na mtoto.Bila shaka Wamempasua!! Pole na Hongera sana mkuu!
Hii verse kaandikiwa Yule mchezaji wa Simba au tumtarajie mwingine ?Wee kumbe fododido
"Una nusu ya moyo wangu,
Na nusu iliyobaki kwangu
Yote nakupenda weweeee"
Nilikopita kote niliteleza
Ila kwako wee ndo kiboko yangu.
Plz unajua vile kwako sijiwezi, sisikii wala sioni, hebu njoo bas nikuone jomoneeeeh, nimekumiss had naumwaa, yaan unakujaga kuchungulia na kutoka, aaaah nimekumiss mwenzio,.
Am serious nimekumic mno wee kiumbeee,![]()
Hahahaaa... njoo nikupunguzie steki steki shos angu!Mie nigawie shape shos, just imagine naambiwa "tatizo huna taccall ndo maana hunistui" afu mtu unakubaliiiii kinyokooo hebu fikiria maumivu yake?![]()
Muache wizzo alee katoto, acha kutamani mzagamuo bhana, jitunze ili siku ya kukutana akute uji umejaa kwa chupa afu wa motoo na mzito, ili akinywa ausikilizie vizuri, c unajua huko uji ni lishe bora?
Tangu wifi ako ajifungue hajamaliza miezi sita. Hizi dawa zako zinanichangamsha sana.![]()







Wa kwanza kabisa siti ya mbele upande wa dereva nimekaa dirishani naona miti inakimbia kwa kurudi nyuma
Mali safi kabisa hii halafu unaweza kuta ipo single eti!!