Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

#sickick
Screenshot_20220226-224142_Muzio Player.jpg
 
Wee kumbe fododido
"Una nusu ya moyo wangu,
Na nusu iliyobaki kwangu
Yote nakupenda weweeee"

Nilikopita kote niliteleza
Ila kwako wee ndo kiboko yangu.

Plz unajua vile kwako sijiwezi, sisikii wala sioni, hebu njoo bas nikuone jomoneeeeh, nimekumiss had naumwaa, yaan unakujaga kuchungulia na kutoka, aaaah nimekumiss mwenzio,.

Am serious nimekumic mno wee kiumbeee,
 
Wee kumbe fododido
"Una nusu ya moyo wangu,
Na nusu iliyobaki kwangu
Yote nakupenda weweeee"

Nilikopita kote niliteleza
Ila kwako wee ndo kiboko yangu.

Plz unajua vile kwako sijiwezi, sisikii wala sioni, hebu njoo bas nikuone jomoneeeeh, nimekumiss had naumwaa, yaan unakujaga kuchungulia na kutoka, aaaah nimekumiss mwenzio,.

Am serious nimekumic mno wee kiumbeee,
Hii verse kaandikiwa Yule mchezaji wa Simba au tumtarajie mwingine ?
 
Back
Top Bottom