Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtoto laini.."mrembo kweri kweri"
Ila mashetani ya kingoni siku yakikujia unavyowadindia wakubwa humu ndani utadhani unajaa mkononi
aaaah wapi wee kwa wakubwa gani? Hao wakubwa naweza kuwabeba kifuani na wakatoa lugha 27 wanazopaswa kunena, na wanatoa machozi ya haja hadi kamasi puani, naanzaje kuwaogopa?

Unyagoni na msondoni tulifunzwa ukiweza kumbeba mtu mkubwa kifuani na akatoa kilio bas jua nawe mkubwa, tofauti ni umri tyuuh, na umri ni namba tyuuh, uko hapo wee Dr? Hahahahah
 
Back
Top Bottom